Serikali ya Modi (waziri mkuu wa India) inaweka msingi juu ya maadili ya uondoaji wa dola na kutoa njia kwa dola ya Marekani kustawi.
Mwanachama wa BRICS India kwa mara nyingine tena amekataa matarajio ya sarafu mpya na kusifu dola ya Marekani kwa kudumisha utulivu wa kimataifa. Waziri wa Mambo...
Wakuu.
Taifa la Uganda linaloongozwa na Yoweri Museveni rasmi sasa limejiunga rasmi na BRICS kama moja ya nchi mshirika hivyo kuifanya Uganda kuwa nchi ya kwanza Afrika Mashariki kujiunga na Jumuiya hiyo
Kufuatia uamuzi huo, Uganda sasa inajiunga na Belarus, Bolivia, Cuba, Indonesia...
BRICS = Brazi, Russia, India, China, South Africa
Kaandika kwenye ukurasa wake wa Twitter
Wazo kwamba nchi za BRICS zinajaribu kuachana na Dola ya Marekani huku tumekaa na kuwatazama LIMEKWISHA! Tunahitaji ahadi kutoka kwa nchi hizi kwamba hawataunda Sarafu mpya ya BRICS, wala kuunga mkono...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.