namba ya nida

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    Binafsi sina namba ya NIDA

    Wakuu mi binafsi sina namba ya NIDA lakin nina passport ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na nimeshasafiri nchi zaidi ya 35. Asa wakuu wa jf mnaniweka kwenye kundi gani? Mnipe mchongo wa kupata namba ya NIDA online mana mi mambo ya kupanga foleni kusubiri masaa siwezi kabisa.
  2. Introv

    Wakuu hivi kitambulisho Cha nida unakipataje baada ya kupata namba ya nida

    Wakuu naomba kujua nawezaje kupata kitambulisho Cha nida kwa nimeshapata namba Sasa sijajua utaratibu wa kukipata hiki kitambulisho Cha nida sababu namba nilizojaza kwenye fomuya kuombea nida namba Sasa hivi sizitumii baada ya kupata nida namba yangu Sasa nilikua nauliza nitapataje ujumbe wa...
  3. Zekoddo

    Msaada: Nimejiandikisha NIDA miezi 2 iliyopita mpaka sasa hakuna kitu. Nawezaje angalau kupata hata namba tu?

    Wakuu, Nahitaji namba ya NIDA tu maana nimejiandikisha miezi miwili imepita sasa, naweza kuipata kupitia Online service baada ya kuingiza taarifa zangu? Msaada tafadhali. NIDA Tanzania
  4. Li ngunda ngali

    Msiwe mnaogopa kujaribu. Jana luku ilikata nikaingiza namba za Nida ukawaka

    Ama kweli kujaribu siyo kushindwa. Jana ndugu zangu luku ilikata na kwa bahati pekee nikaamua nijaribu kuingiza namba zangu Nida na nilistaajabu umeme ukawaka! Tusiogope kujaribu.
  5. Clark boots

    Msaada: Kuna namna nyingine ya kupata namba ya NIDA bila ya kwenda ofisini kwao?

    Eti wakuu, Kuna mtu humu amefanikiwa kupata namba ya NIDA kwa kujiandikisha online tofauti na kwenda kabisa kwenye ofisi zao? NIDA Tanzania
  6. A

    KERO NIDA kuna changamoto kuangalia namba ya NIN mtandaoni

    Kuna shida ya kuangalia online namba ya NIDA hawaleti namba inasababisha changamoto. Tafadhali IT wa NIDA rekebisheni hili
  7. ERICKY_TZ255

    Tangu 2018 sijapata namba yangu ya NIDA. Shida ni nini?

    Jamani naombeni ushauli niache kufatilia namba yangu ya NIDA au nikaze moyo toka nimemaliza usajili mwaka 2018 mpaka leo namba yangu haijatoka, ivi shida huwa ni nini?
  8. ERICKY_TZ255

    Namba ya NIDA hutolewa baada ya muda gani?

    Naomba kuuliza huwa ni baada ya muda gani kupata namba yako ya NIDA baada ya kumaliza kupiga picha na kukamilisha usajili?
  9. I

    Nawezaje kujua taarifa nilizojaza kwenye fomu kipindi naitafuta namba yangu ya NIDA?

    Hivi nawezaje kujua taarifa nilizo jaza kwenye form kipindi naitafta namba yangu ya NIDA baada ya kupata namba hiyo?
  10. J

    NIDA badilikeni na toeni huduma kwa weledi

    Habari za asubuhi Wanajamvi leo Nina jambo na mamlaka ya vitambulisho vya taifa NIDA Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa inashindwa kufanya kazi kwa ufanisi kwa kuweka mkazo mkubwa kwenye mgawanyo wa majukumu kwamba kama una changamoto kuhusu kitambulisho cha taifa unatakiwa uende kwenye mkoa...
Back
Top Bottom