Took a ride to the end of the lane………Where no one ever goes……. Ended up on a broken train with nobody I know……But the pain and the longing’s the same……. When you’re dyin’……Now I’m lost, and I’m screaming for help alone…. Relax, take it easy!
Wengine wanamfahamu kama MK14, au kitu na box! Wapo...
"UKISHAMJUA MNAFIKI ISHI NAE KINAFIKI"
Kama kuna Mtu niliyeyapenda hayo (haya) Maneno basi ni Mimi GENTAMYCINE kwani hata hapa JamiiForums na kwingineko kuna watu naishi nao hivyo hivyo kinafiki huku wao wakidhani wamefanikiwa walichokilenga kwangu wakati kumbe mimi ndiyo nawasanifu kuliko...
Kweli bongo tamu,machozi yamemtoka akipewa mkono wa kwa heri na Simba ila amesema haondoki bongo atapambana apate timu hata kama ni championship league
"Kama Mchezaji wa Simba SC nimesikitishwa sana na Kauli za huyu Patrick Gakumba kuhusu Mimi na Uhusiano wangu na Kocha Gomez "
"Nikiri tu kwamba namjua Patrick Gakumba ila nashangaa ni kwanini kila mara anajitokeza kudai ni Wakala wangu "
"Ukweli ni kwamba Patrick Gakumba si Wakala wangu bali...
Yanga kama wanataka kuongeza kikosi chao waongeze wachezaji wafuatao kutoka Simba.
Kahata ni bonge la mchezaji ila Simba hana namba, Kagere the same, ame bonge la beki tatizo namba ni issue, mkude kupata namba tangu aje lwanga imekuwa shida.
Striker mchukue Dube, kutoka Azam, mchukueni striker...
"Huyu Kocha nimejuana nae Siku nyingi hata kabla ya kuja hapo Simba SC. Anafanya mambo ambayo najua yatakuja Kumrudia na ataumbuka kwani hata Mwenyezi Mungu anayaona na atamuadhibu. Ana Chuki Binafsi na Mimi kwakuwa nilikataa Kumpigia Chapuo kwa Ushawishi wangu mkubwa katika Soka la hapa nchini...
Hili swala la wachezaji wa kigeni linaonekana kama zima moto lakini siyo mwarobaini wa Soka letu.
Hata tukiwa na mmoja wa kigeni soka letu bado lipo hapa hapa, tatizo letu kubwa ni ukuzaji wa vipaji tulivyonavyo. Kama tukiweza kusimamia hilo hata hao wa nje hakuna atakaosumbuka nao.
Cha muhimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.