matokeo kidato cha sita

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Wanafunzi wa kizazi hiki wanafaulu sana. Je, ni bora kuliko nyie?

    Ukichunguza matokeo ya wanafunzi wa form six 1960-2014 walikua ni miamba kweli kweli, yaani mtu anatambulika karibu kijiji kizima kwamba kijana wa flani kafaulu, mimi binafsi nilikua nikikutana na mtu ameenda form five nilikua namuona watofauti saana, heshima nyingi mtaani, na matokeo yao miaka...
  2. Wahitimu wa sasa wanatudhalilisha wahenga

    Hawa vijana wanaomaliza shule siku hizi wanatufanyia sisi tuonekane hatukuwa serious wakati tunasoma Vijana wanafaulu hadi tunajiona sisi tulihurumiwa kupata vyuo 😂😂 Haya matokeo ya kidato cha sita yamenifanya nijiskie nilifeli
  3. Angalia hapa Matokeo ya Kidato cha 6 mwaka 2023

    Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) imetangaza matokeo ya kidato cha sita mwaka 2023 huku yakionyesha ufaulu wa jumla umeongezeka kwa asilimia 0.26 ikilinganishwa na mwaka jana. Akitangaza matokeo hayo leo Julai 12, 2023 katika ofisi za Baraza hilo Zanzibar, Katibu Mtendaji wa Necta Dk Said...
  4. NECTA yatangaza Matokeo ya Kidato cha 6 mwaka 2022

    Watahiniwa 93,136 (98.97%) wamefaulu Mitihani yao, ikielezwa Wasichana ni 40,907 na Wavulana ni 52,229. Aidha, Baraza la Mitihani (NECTA) limesema jumla ya Watahiniwa 83,877 (99.24%) wamefaulu katika Daraja 1 hadi 3 Ufaulu katika Masomo ya Historia, Kiingereza, Kifaransa, Kiarabu, Physics...
  5. NECTA yatangaza matokeo ya Kidato cha 6 - 2021. Ufaulu waongezeka kwa 0.19%

    Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania Dkt Charles Msonde anatangaza matokeo ya Mitihani ya Kidato cha Sita na Ualimu iliyofanyika Mei 2021. Ameeleza kuwa ufaulu wa wanafunzi umeongezeka kwa asilimia 0.11 ikilinganishwa na mwaka 2020. Dkt Msonde amesema hayo leo visiwani Zanzibar na...
  6. Matokeo ya Kidato cha Sita kwa Mwaka 2019 yametangazwa rasmi leo

    Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) nchini Tanzania leo Alhamisi Julai 11, 2019 limetangaza matokeo ya kidato cha sita ya mwaka 2019 Katika matokeo hayo yaliyotangazwa na Katibu Mtendaji wa Necta mjini Unguja Zanzibar, Dk Charles Msonde amesema ufaulu umeongezeka kutoka asilimia 97.58 mwaka...
  7. Maajabu matokeo ya kidato cha sita 2018

    Unaweza kuyaita maajabu ya aina yake baada ya Baraza la Mitihani Taifa (Necta), kutangaza matokeo ya kidato cha sita mwaka 2018, huku shule kongwe ya Jangwani iliyopo jijini Dar es Salaam ikiwa katika orodha ya shule 10 za mwisho. Jingine katika matokeo hayo ni Shule ya Sekondari Kibaha kupanda...
  8. Matokeo ya kidato cha sita 2017/2018

    Link hi hapa http://www.tamisemi.go.tz/noticeboard/tangazo-1070-20170715-Matokeo-ya-Kumaliza-Kidato-cha-Sita-na-Ualimu-2017/ACSEE2017/indexfiles/index_a.htm Soma Pia Matokeo mengine kuanzia 2009 Baraza la Mitihani latangaza Matokeo ya Kidato Cha Sita 2016 Matokeo Kidato cha Sita 2009
  9. Baraza la Mitihani latangaza Matokeo ya Kidato Cha Sita 2016

    Baraza la mitihani Tanzania NECTA limetangaza matokeo ya kidato cha Sita mwaka huu wa 2016 na wanaume wameongoza kwa wingi katika kumi bora, katibu mtendaji wa NECTA bado anaendelea kuongea mnaweza ona matokeo kwa website yao na ya TAMISEMI, Ufaulu umeshuka kwa asilimia 0.93 ikilinganishwa na...
  10. Matokeo ya Kidato cha Sita 2015 yametangazwa

    Matokeo ya Kidato cha Sita yametangazwa mtandaoni rasmi na Baraza la Mitihani nchini almaarufu kama NECTA. Kuyaona matokeo hayo ingia hapa:NECTA | View News http://necta.go.tz/matokeo/2015/Alevel.htm Soma Pia Matokeo mengine kuanzia 2009 Wavulana wapeta matokeo kidato cha Sita, 2014 Matokeo...
  11. Wavulana wapeta matokeo kidato cha Sita, 2014

    Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha Sita yaliyofanyika Mei, 2014 mwaka huu, ambapo limesema ufaulu umeongezeka kwa jumla ya watahiniwa 30,225 sawa na asilimia 85.73 ambao wamefaulu katika madaraja ya I- III. Akitangaza matokeo hayo leo Jumatano Julai...
  12. Matokeo kidato cha sita 2012 yametoka

    Kwa mujibu wa tbc mchana huu matokeo kidato cha sita yametoka na ufaulu umeongezeka. Soma Pia matokeo mengine kuanzia 2009 Matokeo ya mtihani wa kidato cha sita (acsee) 2011 yametoka Matokeo Kidato cha Sita 2009 HAYA HAPA: http://www.matokeo.necta.go.tz/matokeo2012/Alevel.htm au...
  13. Matokeo ya kidato cha sita 2010 hadharani

    Matokeo ya kidato cha sita kwa mwaka 2010 yametangawa rasmi. Unaweza kuyaangali yote kupitia website ya NECTA iliyopo hapa chini. www.necta.go.tz Soma Pia: Matokeo Kidato cha Sita 2009
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…