Habari wanajamvi,
Wilaya ya Kilombero eneo la Ifakara limekumbwa na wimbi la MATAPELI WA MTANDAONI maarufu kama halohaloo. Tumejaribu kila njia kuripoti katika vyombo vya usalama lakini hakuna hatua zozote zinachukuliwa dhidi ya MATAPELI Hawa..
Cha kusikitisha polisi wilaya ya Kilombero haswa...
Na Mwandishi Wetu.
Jamii imeaswa kuwa makini dhidi ya matapeli wa mtandaoni.
Ushauri huo umetolewa na Mtaalam wa Uchunguzi wa Udanganyifu wa Kiforensiki, Rona Katuma kutoka mtandao wa Vodacom wakati akitoa 'mada njia za kuepuka matapeli wa mitandani' mapema Makao Makuu ya Ofisi za Vodacom...
Unajisikiaje, unatafuta pesa mingi na Kujikusanya alafu mtu anakuja kukuibia Kirahisi tu.
Inaumiza eeh!
Hivi karibuni nimekuwa nikipata malalamiko mengi kutoka kila kona ya Tanzania.
Hapa naamanisha unaweza kuipenda bidhaa fulani wewe upo mkoa A na unamtumia muuzaji mkoa B alafu baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.