Kwanza nimegundua hakuna watu wanaokufwatilia kama ma X wako .
Mwanamke anaweza akawa yeye ndio kataka mvunje mahusiano halafu ikitokea ameona umevuta chombo kipya anapata homa na maneno mengi utayasikia kutoka kwa watu wake wa karibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.