maandamano ya kenya juni 2024

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nyani Ngabu

    Somo kwa CCM na Watanzania kwa ujumla

    Pongezi tele ziwafikie Wakenya. Hakika kifikra mmetuzidi mbali sana sisi Watanzania. Pole nyingi pia kwa majeruhi wote wa matumizi ya nguvu ya polisi, wale waliopoteza maisha, pamoja na wapendwa wao. Tumeona jinsi ambavyo Wakenya wanatambua haki zao za kikatiba. Maandamano waliyoyafanya na...
  2. JamiiCheck

    SI KWELI Picha hizi hazihusiani na maandamano ya Kenya ya Juni, 2024

    Tangu Juni 18, 2024 nchi ya Kenya imetawala vyombo vya habari baada ya Wananchi wake kufanya maandamano wakipinga mswaada wa fedha (Soma hapa). Kufuatilia tukio hilo kumekuwa na picha mbalimbali zinasambaa mitandaoni na kuhusishwa na Maandamano ya Kenya ya Juni. Baadhi ya picha ni halisi na...
Back
Top Bottom