maadili kanisani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mr Why

    Utata kuhusu Askofu Mkuu aliyegusisha ndimi na Askofu mdogo wa kiume kama ishara ya baraka nchini Nigeria

    Hivi majuzi, video ilisambaa kwenye mitandao ya kijamii ikimuonyesha askofu mmoja wa Nigeria akifanya ibada isiyo ya kawaida ya kugusishana ndimi na askofu mwingine wa kiume. Tukio hili lilizua mjadala mkali na hisia tofauti miongoni mwa waumini na umma kwa ujumla. Katika video hiyo, askofu...
  2. Metronidazole 400mg

    Baadhi ya wanawake kuvaa nguo zinazoonesha maungio yao kwenye nyumba za ibada tatizo ni nini?

    Leo katika nipo kanisani kuenda kumuomba Mwenyezi Mungu ila nimekutana na hali ambayo imenifanya niwaze Sana bila kupata majibu. Ni hivi Moja ya mmama ambaye ni wale wanaovaa badge Kama wahudumu wa kanisa, endapo mtu kalipuka Pepo basi wao wanatoa msaada wa kumchukua na kumpeleka mbele ili...
Back
Top Bottom