lissu gerezani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JanguKamaJangu

    Pre GE2025 Heche: Nimekutana na Lissu gerezani, amesema mapambano yaendelee

    Makamu Mwenyeliti wa CHADEMAB(Bara), John Heche amesema kuwa amekutana na Mwenyekiti wa Chama hicho, Tundu Lissu katika Gereza la Ukonga anakoshikiliwa na kiongozi huyo amewataka wanachana wa chama hicho kuendeleza mapambano. Lissu alikamatwa Aprili 12 wilayani Mbinga Mkoa wa Ruvuma na kisha...
  2. The Watchman

    Pre GE2025 Halima Mdee: Nitaenda kumuona Lissu Gerezani

    Mbunge wa viti maalum, Halima Mdee amesema ataenda kumuangalia Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu gerezani licha ya mambo yaliyojitokeza baina yake na chama hicho. Akizungumza akiwa jijini Dodoma jana, Mdee ambaye yeye na wenzake 18 walitimuliwa katika chama...
  3. Mtoa Taarifa

    𝗟𝗶𝘀𝘀𝘂 𝗺𝗼𝘃𝗲𝗱 𝘁𝗼 𝗺𝗮𝘅𝗶𝗺𝘂𝗺 𝘀𝗲𝗰𝘂𝗿𝗶𝘁𝘆 𝗽𝗿𝗶𝘀𝗼𝗻

    ◾Tanzania Prisons Services causes unnecessary confusion after 24-hour silence on his whereabouts ◾Authorities finally confirm that the CHADEMA leader has been shifted to Ukonga prison from Keko prison ◾Treason charges against the main opposition leader in an election year, and...
  4. kyagata

    Ina maana weekend yote hakuna mwana chadema aliyeenda kumtembelea mwenyekiti gerezani?

    Kipindi flani wakati Mbowe yuko gerezani na kesi yake ya ugaidi, ilikua haipiti siku mbili bila kuletewa feedback humu jukwaani kuwa wanachama kadhaa wa CHADEMA wameenda kumtembelea mwenyekiti gerezani na kawapa ujumbe flani waulete kwa umma. Sasa nashangaa zama hizi za Lissu, yuko gerezani lkn...
Back
Top Bottom