lissu asota mahabusu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Pre GE2025 DSM John Heche awataka Polisi wasifanye fujo, awaita Watanzania kufuatilia kesi ya Tundu Lissu ambayo hukumu ni Kunyongwa hadi Kufa

    Wakuu! Makamu Mwenyekiti Bara John Heche, leo tarehe 23 Aprili 2025 anazungumza katika Mkutano na Waandishi wa Habari utakaofanyika Makao Makuu ya Chama kuanzia saa saba mchana, waandishi wote wa habari mnakaribishwa. https://www.youtube.com/live/uw_9B8sK8n8?si=O332MRt1WyWCHk4D "Jambo la...
  2. Waufukweni

    Pre GE2025 DSM Sheikh Mwaipopo: Tundu Lissu kukamatwa hajaonewa na hafai kuwa kiongozi

    Katibu wa Baraza la Habari la Waislamu Tanzania (BAHAKITA) Sheikh Mwaipopo amesema, Tundu Lissu kukamatwa hajaonewa bali ni kwasababu ya kuendesha siasa sizizo za kistaarabu huku akiongeza kuwa mwenyekiti huyo wa CHADEMA hafai kuwa kiongozi kwasababu hawezi kutumza siri. Pia, Soma: Sheikh...
  3. Waufukweni

    Pre GE2025 Mbunge Annatropia Theonest: Reforms ni sehemu ya 4R za Rais Samia, ahoji kukamatwa Lissu kisa kudai mabadiliko

    Mbunge wa Viti Maalumu Chadema na ambaye ni Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Annatropia Theonest ahoji watu kuhitaji 'Reforms' ni kosa baada ya Mwenyekiti wa Chama hichoTaifa, Tundu Lissu kuweka ndani.
  4. Waufukweni

    Pre GE2025 Lema amesema Tundu Lissu hataki Vikao vya Gizani ni bora anyongwe

    Godbless Lema afichua maneno aliyoambiwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu alipoenda kumtembelea Mahabusu. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea...
Back
Top Bottom