kuvuka lengo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    TRA yatoa taarifa ya kuvuka lengo mwezi Desemba 2024

    Dar es Salaam, 01 Januari, 2025: Kwa niaba ya Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), inautaarifu umma kuwa, katika kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2024/25 (Oktoba – Desemba 2024) imefanikiwa kukusanya kiasi cha Shilingi Trilioni 8.741, sawa na ufanisi...
  2. Roving Journalist

    LGE2024 Dkt. Biteko aipongeza Dodoma Jiji kuvuka lengo uandikishaji Wapiga Kura

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko ameipongeza Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa kuandikisha idadi kubwa ya wananchi katika daftari la wapiga kura ikiwa ni maandalizi ya Uchanguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024. Dkt. Biteko ametoa pongezi hizo...
Back
Top Bottom