kura feki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mr Why

    Kigogo avujisha video ya wizi wa kura ulivyokuwa ukifanyika 2020

    Kigogo avujisha video ya wizi wa kura ulivyokuwa ukifanyika 2020. Kigogo anadai video hii inaonesha jinsi afisa wa uchaguzi walivyokuwa wakichagua viongozi katika vituo vya kupigia kura huku ulinzi ukiendelea nje kwa lengo la kuhakikisha hakuna Mwananchi atakayeshuhudia ===== JamiiCheck...
  2. T

    Pre GE2025 DSM Odero: Leo hii Mbunge akisimama kuzungumza Bungeni jambo la kwanza ni kumshukuru Rais kwa kuleta Fedha, Fedha za umma zimegeuka Mali za Rais

    Wakuu aliyekuwa mgombea wa nafasi ya mwenyekiti CHADEMA Taifa, Odero Odero alipofanya mahojiano na Edwin Odemba amegusia suala la wale wa kila jambo tunamshukuru mama, tunamshukuru Rais, yani hotuba anaijaza shukrani lukuki kuliko hoja za msingi. ==== “Leo hii Mbunge akisimama kuzungumuza...
  3. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Katibu Mkuu, ACT, Ado Shaibu: Kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa tulikamata watu kadhaa wenye kura feki ikiwemo Polisi

    Kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa tulikamata watu kadhaa wenye kura feki ikiwemo Polisi. Hakuna aliyechuliwa hatua. Hakuna hata faili la uchunguzi lililofunguliwa. Kwa ukimya wake juu ya jambo hili IGP anatuma ujumbe kuwa Polisi wanashiriki wizi wa kura" Ado Shaibu, Katibu Mkuu, ACT Wazalendo...
  4. Cute Wife

    Pre GE2025 Serikali kugawa mitungi ya gesi kwa sharti la kutoa namba ya nida ni mkakati wa kupata kura feki 2025?

    Wakuu, Majuzi kuna mdau aliweka uzi kuhusu mitungi ya gesi kugaiwa kwa masharti ya kutoa namba ya nida - Nzega, Tabora: Mtaani kwetu kuna watu wanapita Kila kaya wanagawa mitungi ya gesi, Sharti lao uwape namba yako ya NIDA Tunajua taarifa za nida zinatumika sehemu nyingi ikiwepo na kwenye...
  5. Cute Wife

    Pre GE2025 Mwenyekiti Uchaguzi CHADEMA: Wajumbe wasiruhusiwe kuwa na simu wakipiga kura, kura ikiwa na alama isihesabiwe

    Wakuu, Kumbe suala la kuweka alama lilikuwa kweli bwana. Mwenyekiti wa Uchaguzi CHADEMA Frank Mwakajoka amesema amepokea kikaratasi chenye ujumbe kilichokuwa na mapendekezo ili kunyoosha zoezi la uchaguzi liende vizuri. Pia soma: Pre GE2025 - Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu...
  6. Suley2019

    LGE2024 Kigoma: Zitto Kabwe adai kulikuwa na kura nyingi bandia kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

    Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe amedai katika uchaguzi uliofanyika wa Serikali za Mitaa Vijiji na Vitongoji kulikuwa na kura nyingi za bandia katika maeneo mbalimbali nchini jambo ambalo lilikuwa dalili ya kufanyika kwa ubadhirifu katika chaguzi huo. Zitto ameyasema hayo...
  7. P

    LGE2024 Kigoma: Polisi wafanya uchunguzi wa tukio la mtu aliyekamatwa na kura feki zilizokuwa zimeshapigwa

    Wakuu, Niseme tu kwamba nashangazwa na wingi wa matakamko ya polisi siku mbili hizi, yaani ni bandika bandua! PIA SOMA - LGE2024 - Kigoma: Vijana wawekwa chini ya ulinzi kwa wizi wa kura baada ya polisi kuingilia kati
  8. Suley2019

    LGE2024 Mkurugenzi Kigoma akiri uwepo wa kura 'feki'

    Wakati Novemba 27, 2024 ikiwa ni zoezi la kupiga kura kwa ajili ya kuchagua viongozi wa serikali za mitaa, mkoani Kigoma tangu asubuhi kumeshuhudiwa malalamiko ya uwepo wa kura feki licha ya wimbi la wananchi kuonekana kujitokeza kupiga kura. Hali hii imeshuhudiwa katika maeneo ya Mwandiga, ya...
  9. Influenza

    LGE2024 Halmashauri ya Mji Bariadi yautaka Umma kupuuza taarifa za upotoshaji za uwepo wa kura feki

    Hayo yamebainishwa katika taarifa iliyowekwa na TAMISEMI katika ukurasa wao wa Mtandao wa X TAARIFA KWA UMMA JUU YA UPOTOSHAJI WA UWEPO NA KARATASI FEKI(BALLOTPAPER) ZA KUPIGIA KURA KATIKA HALMASHAURI YA MJI BARIADI Msimamizi wa Uchaguzi Halmashauri ya Mji Bariadi Ndugu. Adrian Jungu anapenda...
  10. Suley2019

    LGE2024 Msimamizi wa Uchaguzi akutwa na kura 25 zilizopigwa kwa Mgombea wa CCM

    Msimamizi wa uchaguzi amekamatwa Kura feki 25 zilizo pigwa kabisa kwa Mgombea wa CCM, Haya Mauchafu Yanaendelea Nchi Nzima.
  11. R

    LGE2024 Kura feki zinapochanganywa na kura halali nini hutokea?

    Salaam, Shalom!! Nijuavyo, 1. Ukichukua pesa ya Damu au ya ukaichanganya na pesa halali ukafungua biashara ,biasharaitakufa. 2. Ukichukua pesa ya mbwa, itokanayo na zinaa ,ukaichanganya na pesa halali iwe mtaji, biashara italaaniwa na kufa. 3. Ukimwibia boss wako, unachukua pesa hiyo na...
  12. Cute Wife

    LGE2024 Kigoma: Vijana wawekwa chini ya ulinzi kwa wizi wa kura baada ya polisi kuingilia kati

    Wakuu, Uchaguzi huu umekuwa disaster! Mkuu utakuaje kwa trela hili? Pia soma: LGE2024 - Kigoma: Wananchi wafanya vurugu kituo cha kupiga kura Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote...
  13. Cute Wife

    LGE2024 Shinyanga: Apatikana na karatasi za kura ambazo zimepigwa kwa mgombea wa CCM zaidi ya 100

    Wakuu, Kwani yale matokeo walisema saa nne yanakamilika imekuaje? Mwanamke mmoja amekamatwa na kura zaidi ya 100 ambazo tayari zimeshapigwa. Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania...
  14. Cute Wife

    LGE2024 Kigoma: Zitto apiga kura uchaguzi serikali za mitaa, azungumzia kura bandia kukamatwa

    Wakuu, Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe amesisitiza umuhimu wa kushiriki kikamilifu katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa, akibainisha kuwa uchaguzi huu ni fursa kwa wananchi kupata viongozi wa karibu wanaoshughulikia changamoto za moja kwa moja katika maeneo yao...
  15. Cute Wife

    LGE2024 Kigoma: Mgombea adaiwa kukamatwa na kura feki

    Wakuu, Ingia hapa kupata matukio yote ya uchaguzi wa serikali za mitaa ingia hapa: https://www.jamiiforums.com/threads/special-thread-mijadala-ya-mikoa-yote-tanzania-bara-inayoshiriki-katika-uchaguzi-wa-serikali-za-mitaa-2024.2265632/ Anayedaiwa kuwa mgombea katika kitongoji cha Mgera B...
  16. Cute Wife

    LGE2024 Kigoma: Kura feki zakamatwa Mwandiga

    WAkuu, Kupitia ukurasa wa X wa ACT Wazalendo wameweka taarifa hii, mambo yameanza kunoga mapemaaa! Kupata matukio yanyojiri kimkoa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ingia hapa: LIVE - LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa...
  17. Cute Wife

    LGE2024 Lema: Nina taarifa kuna kura zimeshapigwa, wanatafuta namna ya kuingiza kura feki

    Wakuu, Zikiwa zimesalia saa chache kabla ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Jumatano, Novemba 27, 2024 nchini Tanzania, jijini Arusha kumekuwa na malalamiko kutoka kwa vyama vya siasa, hususan CHADEMA Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa...
Back
Top Bottom