Hayupo kuboresha kikosi bali kuweka hesabu sawa tu.
Anakusudia kupunguza mishahara mikubwa tu.
Mishahara ya m 12+ kama inatakwa itemwe yote.
Wakaanza na Miksoni, Chama, Sarry, Jobe, Kanute, Ayoub, Ngoma. Atakaebaki kati yao labda tu awe na mkataba mgumu kuvunja lakini wote hao wanavunjwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.