kuibomoa simba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. William Mshumbusi

    Mo Dewji hana mpango wa kuijenga upya Simba bali anaibomoa aichache kama alivyoikuta

    Hayupo kuboresha kikosi bali kuweka hesabu sawa tu. Anakusudia kupunguza mishahara mikubwa tu. Mishahara ya m 12+ kama inatakwa itemwe yote. Wakaanza na Miksoni, Chama, Sarry, Jobe, Kanute, Ayoub, Ngoma. Atakaebaki kati yao labda tu awe na mkataba mgumu kuvunja lakini wote hao wanavunjwa...
Back
Top Bottom