kuhamia ccm

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. L

    Kuelekea 2025 LGE2024 Simiyu: CHADEMA yapata pigo Wanachama 60 wahamia CCM

    Ndugu zangu Watanzania, Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Itilima, Katibu na wanachama wao wahamia CCM. Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Itilima Mkoani Simiyu, Ndugu Terry Kilugala, na Katibu wake wa Wilaya ya Itilima, Ndugu Gershom Migasa Mipawa, pamoja na wanachama wao zaidi ya 60, wamehamia...
  2. and 300

    Kuelekea 2025 Maandamano ya kumpongeza Mchungaji Peter Msigwa kuhamia CCM

    Wana Iringa wote nawakaribisha katika maandamano ya kumkaribisha Mheshimiwa Dr Mchungaji Peter Msigwa kurejea CCM. TAREHE: 28 Julai 2024, MUDA: Saa 12 asubuhi, MAHALI: Uwanja wa Samora - ofisi Kuu ya Chama Mkoa.
  3. M

    Kwanini wanasiasa wa Upinzani Tanzania Bara wanahama na kuhamia CCM?

    Kwanini wanasiasa wa Upinzani wa Tanzania Bara wanahama na kuhamia CCM- KUNANI? Wakati nipo chuo kikuu, Prof Wangu alituambia siku moja darasani kwamba- "ukitaka uishinde njaa usimuhadithie mwezio kama unanjaa kwani anaweza kukuhadithia yeye kala vyakula vizuri ambapo wewe utashindwa kuiviapa"...
Back
Top Bottom