kufanya kazi kwa bidii

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. felakuti

    Unampaje mtu utajiri huku wewe ukiunguza maini na kuharibu figo zako?

    Je hii inaingia akilini? Sijaona na sitoona faida ya pombe kabisa. Nimekaa na kutafakari kwa kina kwamba yani mimi ninunue pombe haswa hizi kali niharibu maini na figo ili nimtajirishe mmiliki na mtengenezaji wa hizo pombe? Ndugu zangu haswa wakati huu ambao tunaelekea kwenye sikukuu za...
  2. Peter Mwaihola

    Hakuna furaha ya kweli anayoipata masikini, umasikini ni nyumba ya huzuni

    Kila hatua unayopiga kwenye maisha ipime kwa kuangalia ulikotoka. jiulize jana na juzi nilikuwa wapi leo niko wapi, majibu yake yatakupa taswira kama unapiga hatua au unarudi nyuma. Wapo wengi ambao hupima mafanikio yao katika nyanja moja tu ya maisha "hali ya kiuchumi" pasipo kuangalia...
Back
Top Bottom