kuchukua fomu ccm

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cute Wife

    Utaratibu mpya wa kupata Wagombea Ubunge na Udiwani CCM ni kupunguza Rushwa au Kuengua wote wanaoonesha Upinzani kwa Serikali?

    Wakuu, Machi 7 Amos Makalla alisema CCM kwenye kikao cha ndani ilifanya marekebisho makubwa mawili katika mchakato wa uteuzi. Kwanza, kutakuwa na uchujaji wa wagombea kabla ya kura za maoni, tofauti na awali ambapo jina moja lilikuwa likirudishwa moja kwa moja. Pili, hakuna mgombea atakayepita...
  2. T

    Makalla: CCM imesogeza mbele muda wa kuchukua fomu

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kusogeza mbele ratiba ya mchakato wa ndani wa uteuzi wa wagombea wa nafasi za ubunge, ujumbe wa Baraza la Wawakilishi na udiwani kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, baada ya kupitia ushauri kutoka kwa wanachama wake.
Back
Top Bottom