kocha wa yanga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mdukuzi

    Je, ni kweli Mwinyi Zahera ni bilionea? Nimemkuta mtaani gari yake imeishiwa mafuta

    Kipindi Yanga inajitafuta kabla GSM hajaokoa jahazi. Kipindi yanga iko hoi kiuchumi kulikuwa na huyu kocha Mwinyi Zahera, tuliambiwa kuwa alikuwa akuwanunulia chakula Yanga na kulipa posho pale zinapochelewa. Tukaambiwa ana apartment ufaransa na ubelgiji. Baada ya Yanga kumtema nilisikia...
  2. Son of Gamba

    Yanga raha sana kuanzia Kocha mpaka wachezaji wote wana furaha, tazama video hii

    Hakuna timu nyingine utamkuta kocha ana furaha na wachezaji wake kama alivyo Gamondi. Kwa furaha hii, tuendelee kuiona Yanga ikichukua mataji baada ya mataji. Na Jumamos ijayo Vital'O ya Burundi itakula goli nyingi sana pale Chamazi. . Makolozidadi endeleeni kununa.😛😛😛
Back
Top Bottom