kocha mgunda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Boss la DP World

    Laana za kocha Mgunda zimeanza kututafuna.Tajiri mwenzangu Mo tafadhali omba radhi

    Huyu kocha Juma Mgunda ameitendea mengi timu yetu lakini huwa tunamtreat vibaya mno. Juzikati tumemfukuza kazi, na leo ameanza makeke. Tukienda mkwakwani tunakula 2-0. Hongera sana Camara, kipa la NBCPL. Soma Pia: FT: Simba SC 2-2 Costal Union | NBC Premier League | KMC Complex | 4 Octoba, 2024
  2. Majok majok

    Simba hiki ni kipindi cha usajili. Je, mnasajili kwa kutumia ripoti ya Mgunda ama mnasubili kocha mpya?

    Moja ya vitu ambavyo Simba na viongozi wake wanaferi ni eneo la usajili, sasa hivi wanaongelea kusajili lakini wakati huo huo hawana majibu kama mgunda wanampa timu ama lah! Kama Mgunda anapewa timu basi wafanye usajili kupitia ripoti ya Mgunda, na kama wanatafuta kocha mpya wanatakiwa wampate...
Back
Top Bottom