jacqueline kainja

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Stephano Mgendanyi

    Pre GE2025 Mbunge Kainja Agawa Mashuka na Neti Zahanati ya Katunda, Wilaya ya Uyui

    MBUNGE JACQUELINE KAINJA AGAWA MASHUKA NA NETI ZAHANATI YA KATUNDA, WILAYA YA UYUI Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora, Mhe. Jacqueline Kainja Tarehe 09/07/2024 nimefanya mkutano wa hadhara katika Kata ya Mabama Kijiji cha Katunda ndani ya Wilaya ya Uyui Jimbo la Uyui Kaskazini. Mhe...
  2. Stephano Mgendanyi

    Tabora: Mbunge Jacqueline Kainja katika Mapokezi ya Katibu Mkuu UWT Taifa Ndg. Jokate Mwegelo

    Jacqueline Kainja Andrew, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora katika Mapokezi ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Taifa, Ndugu Jokate Urban Mwegelo katika Mkoa wa Tabora Wilaya ya Igunga. Pamoja na mwaliko aliopewa na Kanisa Katoliki kuwa Mgeni Rasmi kwenye Kongamano...
  3. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Jacqueline Kainja na UWT Wilaya ya Kaliua

    MBUNGE JACQUELINE KAINJA NA WANAWAKE (UWT) WILAYA YA KALIUA Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora, Mhe. Jacqueline Kainja Andrew tarehe 13 Julai, 2023 ameendelea na zoezi la Ugawaji wa fedha za miradi ambapo amefanikiwa kukutana na kuwakabidhi Wajumbe Wote wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake...
  4. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Jacqueline Kainja Achangia UWT Milioni 3.6

    MHE. JACQUELINE KAINJA ACHANGIA MILIONI 3.6 UWT MKOA WA TABORA, AZINDUA JUKWAA LA WANAWAKE Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora, Mhe. Jacqueline Kainja amechangia Jumuiya ya Umoja wa Wanawake (UWT) Mkoa wa Tabora vifaa mbalimbali vyenye thamani ya Shilingi 3,600,000 kwa ajili ya ukarabati wa...
  5. Stephano Mgendanyi

    Jacqueline Kainja akubali kasi ya maendeleo Jimbo la Kaliua

    MBUNGE JACQUELINE KAINJA AKUBALI KASI YA MAENDELEO JIMBO LA KALIUA Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora Mhe. Jacqueline Kainja akiwa Kata ya Kamsekwa Wilaya ya Kaliua katika Uzinduzi wa Jukwaa la Wanawake amesema kuwa Kaliua imebadirika, siyo kama zamani kwani imepiga hatua kubwa kimaendeleo...
Back
Top Bottom