hassan bomboko

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mwanamwana

    DC Ubungo akwepa kujibu swali la utekaji wa Sativa, asema “No Comment”

    Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Hassan Bomboko amekwepa kujibu swali kuhusu nani aliyehusika katika madai ya utekaji wa Edgar Mwakabela, maarufu Sativa. Bomboka alikwepa swali hilo akiwa katika kipindi cha Medani za siasa cha runinga ya Star TV, huku akieleza kuwa wajibu wa Serikali ni kulinda raia...
  2. I

    DC Hassan Bomboko shughulika na soko la simu 2000 na siyo dada poa

    Kumbe Bwana DC Bomboko una kazi nyeti ya kuwasaidia wafanyabiashara wa hapo Simu 2000 badala yake unakimbilia kuwaandama mabinti wanaotoa burudani mjini! Ona sasa ulivyozomewa na kudhalilishwa leo! Uliwapuuza wafanyabiashara muda wote waliokuhitaji badala yake ukawa unazurula usiku kwenye...
  3. ngara23

    DC wa Ubungo, Hassan Bomboko afukuzwa na wamachinga sakata la DART kupewa eneo Simu2000 kujenga karakana

    Sijui ni Kwa maksudi au ndo ulivyo kifikra, unamuangusha Rais wetu Samia aliyekuamini ona Sasa unamchonganisha na wananchi wake. Juzi tu ulienda kukamata watu ukisingizia ni makahaba na umefunguliwa kesi mahakama kudaiwa billion 36. Leo unawahangaisha machinga wenye maisha magumu ukitaka...
Back
Top Bottom