Nmepita pita kwenye mtandao nimekutana na picha za sherehe ya HARUSI ya kuolewa kwa BINTI ya muheshmiwa Rais wa Zanzibar Ndugu Hussein Mwinyi.
Nmepatwa kiu ya kujua huyu mshaikaji aliepata hii Bahati, na naskia jamaa NI mmasai wa Arusha na NI Mkristo sasa sijajua Nani kabadilisha dini hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.