Nina wadogo zangu baadhi wameamua kwenda kuanza mapema kusomea Taaluma vyuoni.
Nikiwa kama mtu mzima ninayezijua changamoto za wahitimu wa sekondari kupata wakati mgumu kuchagua taaluma ya kusomea nimeona nifanye extra research wasikurupuke kusomea vitu watavyojutia baada ya kuhitimu.
Kuna...