changamoto za mirathi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ahsanten sana manguli wa sheria humu mmetusaidia sana kwenye ushindi kesi za mirathi ya vijana fulani mtaani

    JAN24 Nilikujia na post moja ya kuomba ushauri kwenye kesi za mirathi ya vijana fulani mtaani. Kuna vijana fulani walifiwa na wazazi, sasa baba yao mdogo akawa msimamizi. Katika hilo, akagoma kuweka kiwanja cha marehemu kwenye documents za mirathi. Akatofoa cheti cha kifo cha marehemu kaka...
  2. Ili Wosia uwe halali ni lazima uwe umezingatia vitu gani vya Msingi?

    Mara nyingi tunaona na tunasikia kwenye vyombo vya habari kuhusu Wosia kupingwa Mahakamani kutokana na utata wa wosia huo. Hali hii husababisha kesi ya Mirathi kutumia muda mrefu hadi kukamilika kwake. Huku ukizingatia Mali ambazo walipaswa kugawana katika familia kukaa tu na pengine...
  3. A

    Je, ni kweli mtumishi wa umma akistaafu akapata stahiki zote na kiinua mgongo ndani ya miaka 3 kisha kufariki watoto hawapati chochote PSSSF?

    Nimeteuliwa kuwa msimamizi wa mirathi wa Mali za mama yangu mzazi mahakamani. Nilipoenda PSSSF nilichoelezwa ni kuwa kama mama alishastaafu na kupewa kiinua mgongo na kuwa amepokea zaidi ya miaka mitatu hela za kila mwezi zinazotokaga basi sisi kama watoto hatutanufaika na chochote. Je, hili...
  4. W

    Ni tamaa au? Ndani ya mwaka baada ya kifo cha mzazi wanafamilia wanakuja julishwa na mwenyekiti kuna mwanafamilia kakopea milioni 30 nyumba ya urithi

    To cut the story short watoto tupo sita rika ni 30 hadi 40, wengi tayari tunaishi mikoa mingine sababu tumeajiriwa serikalini Mzee alifariki 2015, Bi Mkubwa 2023 Pale mjini kuna nyumba mbili, ya kwanza ni ya kitambo tuliyoikuta na kuishi nao wazazi, nyingine tuliijenga watoto miaka ya 2013...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…