bashe na sakata la sukari

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    Amos Makalla kwanini hujatoa tamko suala la sukari na Mpina kufukuzwa bungeni?

    AMOSI GABRIEL MAKALA, Mwenezi wa CCM Taifa umekuwa ukitoa sana matamko kuhusu mambo yanayofanywa na wabunge tumekusikia ulitoa tamko suala la Mbunge wa CCM aliyesema boom lipunguzwe kwa wanachuo kwa sababu wanatumia fedha hizo kulewa pombe. Tumekusikia ukitoa tamko la chama kuhusu kauli ya...
  2. S

    Zaidi ya Wakulima wa miwa 11,000 Kilombero Morogoro wameungana na Mpina kumpeleka Bashe mahakamani

    Zaidi ya wakulima wa miwa 11,000 wa Bonde la Mto Kilombero mkoani Morogoro wameungana na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kumpeleka mahakamani Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kwa kuruhusu uingizaji holela wa sukari kinyume cha sheria uliosababisha viwanda vya sukari kushindwa kununua miwa yao...
  3. S

    Ofisi ya Rais yatofautiana na Waziri Bashe suala sukari

    OFISI ya Rais, Mipango na Uwekezaji imetofautiana mtizamo na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kwenye kampeni yake ya kuhamasisha utoaji wa vibali vya kluagiza sukari kutoka nje. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo ametoa kauli hiyo mjini Dodoma na kusisitiza...
  4. K

    Wasiomuelewa Hussein Bashe kwenye sukari waelewe swali la Dkt.Tulia

    Kitu kitakachokumbukwa sana kwenye bunge la bajeti mwaka huu 2024 utakuwa mjadala wa sukari kati ya Mpina na Bashe. Dkt. Tulia ameuliza swali la msingi sana kuhusu muda ambao viwanda vyetu vinahitaji ili viweze kuzalisha sukari kwa utoshelevu na hatimaye bei iwe sawa na nchi zilizotuzunguka...
Back
Top Bottom