AMOSI GABRIEL MAKALA, Mwenezi wa CCM Taifa umekuwa ukitoa sana matamko kuhusu mambo yanayofanywa na wabunge tumekusikia ulitoa tamko suala la Mbunge wa CCM aliyesema boom lipunguzwe kwa wanachuo kwa sababu wanatumia fedha hizo kulewa pombe.
Tumekusikia ukitoa tamko la chama kuhusu kauli ya...
Zaidi ya wakulima wa miwa 11,000 wa Bonde la Mto Kilombero mkoani Morogoro wameungana na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kumpeleka mahakamani Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kwa kuruhusu uingizaji holela wa sukari kinyume cha sheria uliosababisha viwanda vya sukari kushindwa kununua miwa yao...
OFISI ya Rais, Mipango na Uwekezaji imetofautiana mtizamo na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kwenye kampeni yake ya kuhamasisha utoaji wa vibali vya kluagiza sukari kutoka nje.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo ametoa kauli hiyo mjini Dodoma na kusisitiza...
Kitu kitakachokumbukwa sana kwenye bunge la bajeti mwaka huu 2024 utakuwa mjadala wa sukari kati ya Mpina na Bashe.
Dkt. Tulia ameuliza swali la msingi sana kuhusu muda ambao viwanda vyetu vinahitaji ili viweze kuzalisha sukari kwa utoshelevu na hatimaye bei iwe sawa na nchi zilizotuzunguka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.