aston villa

Aston Villa Football Club (nicknamed Villa) is an English professional football club based in Aston, Birmingham. The club competes in the Premier League, the top tier of the English football league system. Founded in 1874, they have played at their home ground, Villa Park, since 1897. Aston Villa were one of the founder members of the Football League in 1888 and of the Premier League in 1992. Villa are one of only five English clubs to have won the European Cup, in 1981–82. They have also won the Football League First Division seven times, the FA Cup seven times, the League Cup five times, and the UEFA Super Cup once.
Villa have a fierce local rivalry with Birmingham City and the Second City derby between the teams has been played since 1879. The club's traditional kit colours are claret shirts with sky blue sleeves, white shorts and sky blue socks. Their traditional club badge is of a rampant lion. The club is currently owned by the NSWE group, a company owned by the Egyptian billionaire Nassef Sawiris and the American billionaire Wes Edens.

View More On Wikipedia.org
  1. MrKanteChelsea

    Aston villa ni homa ya msimu au ni umakini umeongezeka

    Mwenendo wa timu ya Astonvilla kupata alamu tatu kwa michezo sita mfululizo umenishitua sana na kuvutiwa na mipango mipya ya klabu hiyo toka dirisha dogo. Je ni homa au mikakati thabiti
  2. JanguKamaJangu

    Marcus Rashford kukamilisha dili la kutua Aston Villa

    Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford anatarajiwa kufanya vipimo vya Afya, leo Jumapili Februari 2, 2025 kuelekea kukamilisha mchakato wa kusajiliwa na Aston Villa kwa mkopo. Mchakato ukikamilika Aston Villa itamlipa 70% ya Mshahara wake wa sasa wa Pauni 350,000 kwa wiki huku...
  3. THE FIRST BORN

    Manchester United Yaendeleza Rekodi yakutokufungwa Siku ya Boxing Day Yaipasua Aston Villa 3-2

    Club Ya Manchester United Alimaarufa Mashetani Wekundu imepata Ushindi katika Mchezo wake dhidi ya Aston Villa ambapo Mchezo huo umepigwa katika uwanja wa Old Trafford. Aston villa walikua wa kwanza kutangulia kupata goli 2 kupitia kwa Captain McGinn na Dendoncker Lakin Man Unuted ikafanya...
  4. JanguKamaJangu

    Ndugu zangu Arsenal mpooo? Aston Villa wameshafanya yao EPL

    Timu ya Aston Villa imeendelea kuonesha kuwa msimu huu haina utani kwenye Premier League, hiyo ni baada ya kuichapa Arsenal goli 1-0 kwenye Uwanja wa Villa Park. Matokeo hayo yanaifanya Villa kubaki nafasi ya tatu ikiwa na pointi 35 wakati Arsenala ambayo huo ni mchezo wao wa pili kupoteza...
  5. JanguKamaJangu

    Unai Emery atangazwa kocha mpya Aston Villa

    Klabu hiyo imemtangaza kocha huyo wa zamani wa Arsenal na Villarreal kuchukua nafasi iliyoachwa na Steven Gerrard. Emery anatarajiwa kuanza majukumu Novemba Mosi, 2022 mara baada ya kukamilisha taratibu za vibaki vya kazi, kwa sasa timu itaendelea kuwa chini ya kocha wa muda Aaron Danks. Aston...
  6. Erythrocyte

    Steven Gerrard aachia ngazi Aston Villa

    Baada ya kipigo kitakatifu cha bao 3-0 kutoka kwa Fulham, bwana Steve Gerald ametangaza kung'atuka kwenye timu hiyo. Bali haifahamiki chanzo cha yeye kuweka mpira kwapani. Angalizo: Ukiona hautoshi usikimbilie vyeo vikubwa, utadhalilika!
  7. JanguKamaJangu

    Steven Gerrard yupo kwenye kaa la moto Aston Villa, Pochettino anaweza kupewa mikoba

    Inadaiwa kuwa klabu hiyo ya Aston Villa ipo katika mipango hiyo ya kumuwania Mauricio Pochettino kutokana na matokeo mabaya ambayo wanayapata chini ya Steven Gerrard. Gerrard amekuwa katika wakati mgumu na mashabiki wa Villa wameanza kumgeuka, ambapo timu yao inashika nafasi ya 16 katika...
  8. Sam Gidori

    Ligi kuu England: Crystal palace yatoshana ubavu na Manchester United, Sheffield United yang'ara

    Baada ya kupata sare mbili za bila kufungana dhidi ya Real Sociedad kisha na Chelsea, Manchester United inasafiri hii leo kuelekea Selhurst kukipiga dhidi ya Crystal Palace mchezo utaopigwa saa 5 usiku kwa saa za Afrika Mashariki. United inahitaji sana kushinda katika mchezo kwani Jumapili ya...
  9. kavulata

    Kwa Aston Villa hii Samatta atarudishwa kundini?

    Aston Villa aliyoiacha Mbwana sio kama ya sasa baada ya yeye kuondoka kwenda Uturuki kwa mkopo. Je, kuna uwezekano kiasi gani kwa Samatta kurudi tena Aston Villa kama mchezaji?
  10. kavulata

    Jezi yangu ya Aston Villa nimpe Nani?

    Aston Villa haina hadhi inayosababisha Mimi nivae jezi yake. Nilinunua jezi yake kwasababu ya kijana wetu Mbwana Samatta kuwa pale. Sasa Mbwana hayuko najisikia vibaya kuivaa ile jezi ambayo nilinunua kwa Bei kubwa. Nani aje nimpe jezi hii aivae yeye? Sinunui ya Fenerbahce kwanza hadi kieleweke...
  11. Petro E. Mselewa

    Nimeridhika kabisa: Mbwana Samatta hakuwa msaada kwa Aston Villa, Watkins ameonesha utofauti mkubwa

    Kwa kiwango chake, ufungaji wake, kazi yake, umakini wake na mchango wake kwa timu mchezaji mpya wa Aston Villa Ollie Watkins amedhihirisha kuwa mshambuliaji Mbwana Samatta hakuwa msaada wowote kwa timu hiyo. Watkins ambaye amefunga mabao matatu katika kipigo cha mbwakoko alichokipata Liverpool...
  12. P

    Aston Villa Yateua Mkurungezi Mpya wa Michezo

    Baada ya kumfuta kazi Mkurungezi wa Michezo wa zamani Jesus Garcia Pitarch.... kutokana na kutofanya vizuri katika ligi.... na kushindwa kusajiri wachezaji wa wiwango bora....Timu ya Aston Villa imemteua Jahan Lange....mwenye umri miaka 40...kuwa Mkurungezi Mpya wa Michezo....Bwana Lange anatoka...
  13. Z

    Tumuombee Mbwana Samata na Aston Villa yake Jumapili, 26/7/2020

    Jumapili 26/7 ndio mwisho wa Ligi kuu ya Uingereza. Timu ya Samata, Aston Villa inahatari ya kushuka daraja ikiwa na point sawa na Watford zikiwa na point 24, ila Aston villa ina goli moja tu linaloizidi Watford hivyo mpaka leo ipo salama. Lakini yote 9, kumi ni matokeo ya J'pili wakati Watford...
  14. M

    Matumaini ya Aston Villa kusalia EPL yafufuka.

    Ukiangalia msimamo wa EPL mwaka huu Kuna dalili nzuri ya ASTON VILLA kusalia ligi kuu. Nafasi ya:- 16.Westham -37 pts 17.Aston Villa-34 pts 18.Watford-34 pts 19.Bournemouth-31 pts 20.Norwich-21 pts Sasa mechi za kufunga msimu ni:- Arsenal vs Watford Westham vs Aston Villa Je, Watford atamfunga...
  15. Tindikali

    Aston Villa yafungua lockdown, Samatta apigwa benchi

    Mpira unaendelea mechi ya kwanza baada ya lockdown; Mbwana Samatta anasugua! Dalili mbaya kwa Samatta. Aston Villa 0 Sheffield United 0 Dakika ya 35
  16. M

    Kwanini matusi ya Wabongo yanashamiri kwenye Twitter ya Aston Villa?

    Jamani, mbona tunatia aibu hivi. Ukipitia page ya Aston Villa kuhusu mchezo wao na Man City jana (hasa pale walipoiweka picha ya Samatta), matusi ya vijana wa Bongo yameendelea kurindima. Hii ni tofauti kabisa na maoni ya wengine walioyatoa kwa lugha ya Kiingereza. Karibu maoni yote ya...
  17. B

    Wewe Kocha wa Aston villa... safu yako ya ushambuliaji kuna tatizo hapo umeligundua?k

    Sisi wadau hatuongei sana na hatukufundishi ila utakuwa ushaelewa kinachoendelea hapo Mbele....hivi ana matatizo gani huyu kijana wako Glealish? Sasa kaa na kijana wako umwambie kabisa kwamba hicho kitabia chake cha kike wadau hatujakipenda!!! Ahsante.
  18. MLIMAWANYOKA

    Mechi za Aston Villa tangu kujiunga kwa Samatta

    Bournemouth (A), Tottenham Hotspurs (H), Southampton (A), Sheffield United (H), Chelsea (H), Newcastle United (A), Wolverhampton (A), Liverpool (A), Manchester United (H), Crystal Palace (H), Everton (A), Arsenal (H), West Ham (H). H= home A= away. Kila la kheri Samatta
  19. George Betram

    Je, Samatta atafanya makubwa EPL?

    Kwa kiwango alichoonesha leo, basi Samatta ajiandae kukalia "ubao", pia nimesikia jamaa (Aston Villa) wanamtaka Sturridge. Kama ataendelea kupuyanga uwanjani kwa mtindo huu wa leo basi atakalia "ubao" mpaka makalio yatawaka moto. Ila bado nina imani naye, aendelee kupambana tu.
Back
Top Bottom