Watu kadhaa wanahofiwa kufariki dunia katika ajali ya gari baada ya basi la kampuni ya Nyehunge kugongana uso kwa uso na basi la kampuni ya Asante Rabi.
Ajali hiyo imetokea leo Oct 22, 2024 majira ya alfajiri katika eneo la Ukiliguru, wilayani Misungwi mkoani Mwanza.
===
Watu wanane wamefariki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.