Search results

  1. G

    "Viongozi wa Juu wa CHADEMA Watoa Maoni Mseto Kuhusu Uongozi wa Rais Samia na Hatua za Kuimarisha Demokrasia Nchini"

    Siku zote najua viongozi wa Chadema wanatabia ya kujitekenya na kucheka wenyewe,watajifanya wanapinga maendeleo anayofanya Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan alikini anapotembelea sehemu zao huwa wanakubali mziki wake.
  2. G

    Kuelekea 2025 Kauli ya Lissu kuwa CHADEMA siyo mama yake anaweza kuhama ni kiashiria cha uwezekano wa kuhama CHADEMA

    Nadhani Lissu kuna mambo ndani ya Chadema anayajua ndio maana amekuwa akitoa kauli zenye kukibomoa chama chake Gazeti la Nipashe la 28 August 2024 liliandika LISSU AHOFU PESA CHAFU KUPENYEZWA CHADEMA
  3. G

    Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti Chadema ni paka na panya

    Ndugu yangu wala hakuna haja ya kutukana cha msingi wewe jibu hoja tu.
  4. G

    Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti Chadema ni paka na panya

    Maigizo ya Mpasuko ndani ya Chama kinachotetea wananchi kama kinavyojinasibu?
  5. G

    Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti Chadema ni paka na panya

    Maji taka yapo hata Chadema ndio maana kuna mpasuko wa kisiasa kati ya mwenyekiti na makamu wake sasa hii si afya kwa chama chetu cha Chadema.
  6. G

    Demokrasia ya Marekani na unafiki katika mataifa mengine

    Marekani ni taifa ambalo mara nyingi linaonekana kama mfano wa demokrasia kwa mataifa mengine duniani. Hata hivyo, kuna muktadha wa kipekee ambao unahitaji kuangaliwa kwa karibu: wakati nchi hii inapojisifu kwa kuimarisha demokrasia na haki za binadamu, hali ya ndani ya nchi hiyo siyo kila...
Back
Top Bottom