Search results

  1. S

    Watanzania hawawezi kuandika

    Ku research topic topic× Kufanya utafiti wa mada✓ Awawezi× Hawawezi✓ Kuchanganya lugha ni kosa.unamakosa mengi sana na hayo ni baadhi tu niliyoyaona.
  2. S

    Kwanini RC wengine huwa hawana fedha kama ilivyo kwa Makonda?

    Wengine hawana ubunifu tofauti na Makonda ambaye ni mbunifu kumuzidi Hadi bibi tozo.za chini ya kapeti zinasema bi tozo anataka kumfukuza kazi Kwa sababu amekuwa maarufu sana kumzidi yeye.hataki kuzidiwa umaarufu
  3. S

    TAKUKURU mnasubiri muagizwe na nani kumchunguza Mbarawa tuhuma za Rushwa mikataba ya EPC+F?

    Takukuru ni taasisi ambayo haina meno.yaani ni kibogoyo.inafanya kazi Hadi iambiwe na kiongozi Fulani kama waziri rais au mkuu wa mkoa.bila Hivyo wao hutulia ofisini tu kula kiyoyozi na kupokea pesa za Bure Bure za walipa kodi
  4. S

    Kuna watu wanateseka kwaajili ya majirani / jirani mbaya

    Dawa ya hao wahuni ni kununua kiwanja kukubwa ili jirani awe mita sabini au hamsini ili kuepusha kuchangamana nao.
  5. S

    Natafuta mwanaume wa kunioa 2024

    Tatizo wachaga huwa munawadedisha wanaume.
  6. S

    Nani Anajua au anamchoro wa picha ya ramani jinsi itakavyokua kimara mwisho

    Hiyo barabara ni miongoni mwa ule mradi wa njia nane toka kibaha hadi ubungo na ilikuwa ikamilike mwaka 2023 lakini wajanja wakamzidi Samia Kwa kuwa mwepesi wa kudanganyika pesa zikaliwa na mradi ukasimama.kwa Sasa amekopa pesa Kwa riba kubwa ambazo hazieleweki ameamua kutujengea ki barabara...
  7. S

    Ninavutiwa Sana na Utulivu na Umakini wa Rais Samia Kiuongozi

    Mabadiliko tuliyoyaona ya rais Samia ni kama ifuatavyo 1.kupanda Kwa nishati.mfano petroli Kwa Sasa ni 3500/Lita tofauti na miaka mitatu nyuma ilikuwa1500/Lita. 2.wafanyabiashara wa malori kutoka congo kwenda bandari ya Dar wamehamia Mombasa baada ya kuuzwa Kwa dp world tofauti na miaka kadhaa...
  8. S

    Kichofanywa na Nchimbi ndicho alichokifanya Makonda na tulimzodoa

    Pamoja na kuiga lakini hawamfikii makonda Kwa kazi nzuri anayoifanya Kwa kuwajumlisha wote na mwenyekiti wao wa ccm.
  9. S

    Kwanini Mbunge Job Ndugai huwa hachangii chochote bungeni?

    Hawezi kuchangia Kwa sababu serikali ya bibi tozo haitaki wa kuikosoa.inapenda watu mbumbumbu ambao hawaoni mapungufu.Ndugai ni mzalendo ambaye huwa anasema ukweli.kwa kuwa bi tozo haitaki kukosolewa ndiyo maana kaamua kubaki kimya
  10. S

    Utabiri: Mwaka huu hautaisha kabla ya Dola ya Marekani kufika 3000Tsh

    Madhara ya kupata dereva muuza chapati ndiyo haya Sasa.
  11. S

    Nilipata mshtuko jana nilipokuwa naangalia habari TBC1 na kuona Makamu wa Rais anaongea jambo kana kwamba hakijui cheo chake

    Mama kaiuza gesi Kwa mwekezaji mzawa ambaye ni mwanae Abdul na yeye kuiuzia serikali bei kubwa mara tisa ya bei inayotakiwa kulipwa ndiyo maana bei ipo juu.Nchi hii imeoza kabisa.
  12. S

    Humphrey Polepole: Tuwe makini na wahuni, wanaweza kuipiga copy serikali

    Mzee wa msoga aisikie hiii.inamhusu 100%.
  13. S

    Rais Ruto aalikwa na Jumuiya ya Ulaya Kwenye Kikao Cha Amani kati ya Russia na Ukraine

    Ruto Yuko vizuri na mtu wa maamuzi.sasa wangemwalika yule mla ulojo angeshauri uamuzi Gani huko kwenye barazala usalama?angekuwa anawaambia tu mkalitazame.wameona huyu wakualika kwenye ufunguzi wa albamu za mziki
  14. S

    Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

    Za chini ya kapeti zinasema mama anamwandaa kurithi mikoba.lakini ninaimani wa Tanganyika hatutakubali huo uhuni.labda amrithishe kusafiri angani Kila siku.
  15. S

    Hali ya kiuchumi Arusha inazidi kushuka kila uchwao

    Mama kaiharibu nchi.uchumi wa Nchi uko mahututi.anachojua yeye ni kisafiri tu.hatukuzoea kuona Arusha kuwa na hali mbaya kiuchumi kiasi hiki.huyu bibi ni muuaji wa uchumi wetu hasitahili kuwepo kwenye hiyo nafasi.huyu alifaa awe muuimba taarabu.
  16. S

    Leo nimeamua kuwachezesha Traffic.

    Mimi kama askari barabarani,nashukuru sana kuiweka hapa hiyo leseni yako na kuanzia Sasa nitaanza kukagua taratibu hadi niipate hiyo leseni ili nikubambike makosa.maana Kwa uzoefu wa kazi yangu nimegundua magri ya watanzania ni mikweche(ya kimasikini)yaani Kila gari linakasoro nyingi.sasa wewe...
  17. S

    Tunapata fundisho gani Kwa Trump, Rais wa zamani wa America, kukutwa na hatia Kwa makosa ya jinai?

    Fundishonnililolipata ni kuwa huyu wa kwetu anatakowa tumfunge kifungo Cha maisha jela.maana Nchi amaiharibu sana
  18. S

    Zaidi ya Shilingi Bilioni 600 kujenga upya Hospitali ya Muhimbili, Mkopo utalipwa baada ya miaka 25

    Matumizi mabaya ya pesa za umma.Awamy ya sita imekuwa ya wachawi sana .
  19. S

    Ziara ya Ruto nchini Marekani inatufunza kwanini Hayati Magufuli aliamua kuimarisha ATCL

    Hizo ndege zimekufa baada ya kurithishwa madaraka na hichi kibibi.maana hakajui kuwaongoza watu wake.kila mradi ulioanzishwa na Magufuli Kwa Sasa zinakufa sababu ya kurithi li mutu la ajabu ajabu.
  20. S

    Kuelekea 2025 Walimu Dar kuanza kuvaa suti kwenye matukio

    Suti inaheshima yake.kumiliki suti unatakiwa umiliki usafiri.sasa mwalimu umshonee suti aanze kutembea Kwa miguu barabarani na joto lote la Dar itakuwa kuwafedhehesha.itakuwa aibu kubwa sana kununuliwa suti na kuanza kubanana kwenye daladala labda wawanunulie suti za mitumba
Back
Top Bottom