Search results

  1. denoo JG

    Kipande kikubwa cha takataka kilichopo bahari ya pasific

    Miaka inavyozidi kwenda na hizo taka zikizidi kuzalishwa maana yake hata maeneo mengi ya beach yataharibiwa na uwepo wa hizo takataka.
  2. denoo JG

    "Chacha Died - I won't" Kauli ya Zitto baada ya mgogoro wake na CHADEMA

    Kumbe ni kweli kuna wakati saa mbovu inakuwa sawa, my first time nimekuelewa.
  3. denoo JG

    Kiongozi Hezbollah, Nasrallah anawambia Israel: "Mnataka vita, anzisheni muone

    Ritz tafuta kazi nyingine ufanye, naona hii uliyojipa ya kuwatisha Israel inachekesha sana.
  4. denoo JG

    Kuelekea 2025 Singida: Tundu Lissu adai kufuatiliwa na Watu wasiojulikana

    Huu mchezo wa hii serikali ya hovyo inayouza rasilimali za watanganyika kisha haitaki kuambiwa ukweli kwa kuwatsiha wakosoaji ni wa kijinga, kama ameshindwa kuongoza nchi apishe wengine wanaoweza lakini sio kutaka kuwafunga watu midomo kwa njia za vitisho, kama Lissu akionesha hiyo gari kwa...
  5. denoo JG

    Kuelekea 2025 Singida: Tundu Lissu adai kufuatiliwa na Watu wasiojulikana

    Siku zote huwa unaandika vitu vya kitoto tu.
  6. denoo JG

    Kuelekea 2025 Mchungaji Msigwa: Maranja anaishi kwa kutegemea kuzururazurura kwenye korido za CHADEMA na kulamba viatu vya Mbowe

    Yule anatafuna pote, sio kwa baadhi ya viongozi wa CDM tu, pia hata kwa baadhi ya vigogo wa CCM. Simply anan'gata huku anapulizia kule, na anan'gata kule anapulizia huku, sijui kama umewahi kujiuliza kwanini alimshambulia sana Mange alipomlipua Samia hivi karibuni? MMM ni mjanja mjanja wa...
  7. denoo JG

    Kuelekea 2025 Mchungaji Msigwa: Tuungeni mkono CHADEMA ili tukatae mfumo wa ukandamizaji wa kikoloni uliopo

    Naona baadhi wanapata shida sana kumuelewa Msigwa, binafsi namuona kapevuka sana kwenye ulingo wa siasa za kiushandani sio ndani ya Chadema alipo, bali kwenye siasa za Tanzania kiujumla. Mara kadhaa Msigwa amekuwa akihusishwa na kutaka kwenda CCM, ukitazama wanaomhusisha na hizo tuhuma wengi ni...
  8. denoo JG

    Kuelekea 2025 Mchungaji Msigwa: Sikuingia CHADEMA kutafuta Vyeo bali Kuwatumikia Wananchi, nitaendelea kukitumikia chama Katika Jimbo lolote mtakalonihitaji!

    Zitto na Mwigamba wote walikuwa wanatafuta sababu ya kwenda ACT, hawakudhulumiwa chochote wale wanachama wa kundi la pindua Mbowe 2014.
  9. denoo JG

    Kuelekea 2025 Mchungaji Msigwa: Maranja anaishi kwa kutegemea kuzururazurura kwenye korido za CHADEMA na kulamba viatu vya Mbowe

    Msigwa yupo sahihi hapa, Mbowe anakosea kujiweka karibu na Maranja mtu ambae wakati mwingine kule X huwa ana lugha chafu sana, anayeona sifa kuropoka matusi bila wasiwasi. Huyu Maranja kwa sasa ni kama amejigeuza msemaji wa Chadema kimya kimya, yeye ndie yupo mbele kuzungumzia mambo yanayohusu...
  10. denoo JG

    Je, hii ni Mikataba ya Kimangungo katika jina la Uwekezaji?

    Siku hizi kila nikilala nikiamka naskia katoa bandari, mara tena katoa misitu, katoa madini, katoa na bahari, hizi ni tabia za mwanamke asiyejitambua anayetuonesha kwa vitendo kabisa enzi za ujana wake alikuwa na tabia za aina gani.
  11. denoo JG

    KERO Nimetishiwa kudhalilishwa na mtoa huduma wa Pesa X

    Aisee kumbe hao jamaa wanajua kabisa wanaowakopesha wana dhiki, hivyo wameamua kuneemeka kwa dhiki zao kwa kuwawekea riba kubwa! Amka mtanganyika.
  12. denoo JG

    Je, hii ni Mikataba ya Kimangungo katika jina la Uwekezaji?

    Kiumbe ambae hakuwahi kuota kuwa Rais wa nchi anapata madaraka kwa mtindo wa bahati nasibu, anaingia ikulu akiwa hajui moja wala mbili kuhusu uongozi, matokeo yake anatoa sehemu ya ardhi ya nchi aliyopewa kuiongoza kwa wageni huku yeye kwa ujinga wake akiamini bado ana mamlaka kamili ya...
  13. denoo JG

    Tumebadilishana rasilimali za nchi na PhD?

    Akili ndogo inaendelea kutu cost kama taifa, mpaka aondoke madarakani huyu Rais atatuacha hatuna thamani yoyote zaidi ya kuhangaika kulipa madeni huku rasilimali zetu akiwa amezitoa kwa wageni, Samia amekuja kutuachia umaskini watanganyika.
  14. denoo JG

    Kuelekea 2025 Mchungaji Msigwa: Sikuingia CHADEMA kutafuta Vyeo bali Kuwatumikia Wananchi, nitaendelea kukitumikia chama Katika Jimbo lolote mtakalonihitaji!

    Msigwa sio kibaraka wa CCM, mtu kudai haki yake hakumuondolei uhalali wa uanachama wake Chadema, grow up. Hebu nitajie kina nani waliwahi kudhulumiwa na Mbowe wakatoa malalamiko yao, hebu nitajie nami niwajue kama wewe...
  15. denoo JG

    DOKEZO Mwanafunzi asimamishwa masomo baada ya kukutwa nyumbani kwa Mwalimu Saa 6 Usiku wakidaiwa kufanya mapenzi, Mwalimu analindwa na mamlaka

    Ajabu sana, mwanafunzi ndie ameendelea kushikiliwa kituo cha polisi, huku mwalimu akiachiwa huru, polisi sijui huwa wanatumia akili gani kwenye mambo yao.
  16. denoo JG

    Kuelekea 2025 Mchungaji Msigwa atangaza kukata rufaa kupinga Ushindi wa Joseph Mbilinyi (Sugu) Kanda ya Nyasa

    Aende KK akatoe malalamiko yake, na kama ikithibitika kuna rafu ilichezeka dhidi yake, hili litaenda kuacha doa Chadema. Kama Msigwa mwanzo alimlalamikia John Mrema asisimamie ule uchaguzi wao kwasababu alionekana akilewa pombe na Sugu, na kama Mrema ni miongoni mwa wajumbe wa KK, endapo majibu...
  17. denoo JG

    Yanayoendelea kwa sasa kwenye Rasilimali za nchi, watanzania wangefumbua macho kidogo huyu Rais alitakiwa aachie madaraka, kupisha wanaoweza kuzilinda

    Tumekuwa raia wa bahati mbaya kila awamu, tuna bahati mbaya sana lakini kiongozi unapofikia hatua ya kuchezea rasilimali za taifa, hii kwangu ni zaidi ya bahati mbaya.
  18. denoo JG

    Kuelekea 2025 Mchungaji Msigwa atangaza kukata rufaa kupinga Ushindi wa Joseph Mbilinyi (Sugu) Kanda ya Nyasa

    Alichofanya Msigwa ni haki yake, kama hajaridhishwa na namna Sugu alivyoshinda na ana sababu za mantiki kupinga ushindi wake, sioni ubaya wowote kwa Msigwa kukata rufaa. Simply anachofanya Msigwa anataka haki ifuatwe, kama KK itaamua kumpa ushindi Sugu au kumpoka, bado sioni kama kuna jambo...
Back
Top Bottom