Search results

  1. Chinese blade

    Ni aibu na fedheha kubwa kwa Wana-CCM wa JF kutelekezwa huku Marehemu akiteuliwa!

    umeona sasa,,,!!! Hutakiwi kujua kupita kiasi!!!
  2. Chinese blade

    Ni aibu na fedheha kubwa kwa Wana-CCM wa JF kutelekezwa huku Marehemu akiteuliwa!

    Hilo ni tatizo kuiongelea nafsi ya mtu kana kwamba mpo pamoja kwenye makusudio!!!
  3. Chinese blade

    Kuteua watu kabla ya kuwajulisha: Wapi kwingine duniani wanafanya hivyo?

    Kuna theories kwenye spin coding zinatumika, ubunifu mzuri ndio msingi wa ufanisi kwenye kazi. Ligi imesimama, raia wajuvi na international media zimeripoti kuhusu baadhi ya matukio ya kiongozi wa nchi, wengineo wakaanza kuhoji kwanini imekuwa hivi na vile, mara nyingi mpira ulitumika kuwaondoa...
  4. Chinese blade

    Mfumo wetu wa kujitawala ni wa kikoloni

    Una umri gani mzee?
  5. Chinese blade

    Ni aibu na fedheha kubwa kwa Wana-CCM wa JF kutelekezwa huku Marehemu akiteuliwa!

    Mambo ni mengi ya kufanya, nadhani unafahamu ila acha nikukumbushe tu, kuna watu wanavibeba vyama vya upinzani na hawajulikani na viongozi wa vyama husika ila wanapambana kuhakikisha upinzani inataka nyoyo na akili za watanzania, ko hali iko hivyo pia kwa wanaccm wapo baadhi yao ni kupiga...
  6. Chinese blade

    Lakini kusema ukweli Zuhura hakutosha ile nafasi! Kitu pekee aliongeza ni Press tu, kwenye Branding alifeli

    Waweke mfumo ambao utailindi taasisi ya urais kujibu hoja za wananchi na wapinzani ili kumlinda rais na hayo mnayoyadai, au msemaji mkuu wa serikali awe aidha chini ya PM au awe na mamlaka ya kuzungumza na kujibu hoja zote zinazopelekwa dhidi yao, hii itafanya kurugenzi ya mawasiliano isiwe na...
  7. Chinese blade

    Yesu akirudi leo atasali wapi? Kwa Wayahudi, RC /Wasabato au Kwa Walokole? Au Mashahidi wa Yehova? Naomba majibu

    Tatizo unagugo sana, ni heri ungekuwa unagugo na kufanya kopi and paste, umegugo then unaongeza na ya kwako tena kwa chuki,,,,!!! Relax kidogo nikuhabarishe, uislamu ulikuwapo tangu enzi za adam hadi Issa, then ukapotea kwa sababu baada ya Issa dini mpya zaidi ikazuka nayo ni ukristo, na ndio...
  8. Chinese blade

    Yesu akirudi leo atasali wapi? Kwa Wayahudi, RC /Wasabato au Kwa Walokole? Au Mashahidi wa Yehova? Naomba majibu

    Kuna baadhi ya vitu hutakiwi kupinga kwa kuwa ni mfuasi wa dhehebu fulani,,,,!!! Ukweli unabaki palepale kwamba Issa (a.s) was not christian and he will not be christian ever as you claim,,,!!!
  9. Chinese blade

    Yesu akirudi leo atasali wapi? Kwa Wayahudi, RC /Wasabato au Kwa Walokole? Au Mashahidi wa Yehova? Naomba majibu

    Warumi wa wapi,,,,???? Pale ulaya ya mashariki??? Na kitovu cha ukatoliki si Italia kwa sasa, hata hao watukufu wa kikatoliki ni waitalia, ulaya ya magharibi na sasa wameanza kuwachukua waamerika ya kusini,,,,!!! Wakatoliki hawatakuja kuwapa uongozi watu wa ulaya mashariki au middle east, kwa...
  10. Chinese blade

    Yesu akirudi leo atasali wapi? Kwa Wayahudi, RC /Wasabato au Kwa Walokole? Au Mashahidi wa Yehova? Naomba majibu

    Uislamu ulikuwepo kabla ya ukristo, kwa sababu uislamu ulianza kwa adamu, Idrisa, nuh, Ibrahim,(Abraham) Issa (Yesu) , Muhammad hadi kutufikia sisi na wajao,. Je ukristo ulianzia wapi kwa ushahidi wa maandiko ya biblia uiaminiyo??? Dini yenu ni ngeni zaidi, na imebebwa na shetani na ndiyo...
  11. Chinese blade

    Yesu akirudi leo atasali wapi? Kwa Wayahudi, RC /Wasabato au Kwa Walokole? Au Mashahidi wa Yehova? Naomba majibu

    Hizo ni fallacies au propaganda dhidi ya uislamu, hakuna ukweli wowote, na kuthibitisha ujinga wenu huwa mnabeba uzushi wa namna hiyo na kuuamini! Kama ingelikuwa kuna ukweli katika hayo ya majini na mapepo basi kesi za mapepo zingelikuwa nyingi msikitini, ushawahi kusikia msikitini kuna mapepo...
  12. Chinese blade

    Yesu akirudi leo atasali wapi? Kwa Wayahudi, RC /Wasabato au Kwa Walokole? Au Mashahidi wa Yehova? Naomba majibu

    Kasomeeee,,,,,,!!!! Acha kukariri, haya elezea wewe kile unachokifahamu,,,,,,!!!! Hao wachungaji na mapadri ambao ni wajuzi zaidi kuzidi wa ukristo kuzidi wewe hawakapingi kuwa yesu na Issa is the same, we ni nani hadi upinge,,,!!! We una elimu gani ya dini na umeipatia wapi??? We subiri...
  13. Chinese blade

    Yesu akirudi leo atasali wapi? Kwa Wayahudi, RC /Wasabato au Kwa Walokole? Au Mashahidi wa Yehova? Naomba majibu

    kumbe yesu alilelewa Nazareth,,,,!!! Hivi munafahamu hiyo Nazareth iko wapi kwa sasa,,,,,???? Basi ngoja niwadukulie hata kwa uchache. Tuanze na sehemu aliyozaliwa, ni kule bethlehem au waarabu wanapaita bait alrahma, sehemu yenye historia katika kisa cha israi na miraj, sehemu hii ipo...
  14. Chinese blade

    It’s my Gemini birthday 🥳

    Happy birthday mrembooo,,,,,!!!
  15. Chinese blade

    Unafahamu nini kuhusu wachina?

    Wabaguzi og na wanapenda sana kamari
  16. Chinese blade

    BAKWATA ichunguze Msikiti wa Kingo unaojengwa Morogoro

    acha maneno mengi mzee,,,,, We kweli punguani, hayo yanauhusiano gani na mada,,,,,???? Nadhani unalazimisha kunitoa kwenye mada aidha kwa kujua unachofanya au kutokujua,,,,!!! We bado mtoto mdogo kwenye utambuzi wa mambo.
  17. Chinese blade

    Duniani Kote Marais Waislamu hupenda kuwarithisha Urais Watoto wao yaani hupendelea Utawala wa Kifamilia!

    hiyo jihad ya Somalia inafanywa dhidi ya akina nani, na kwa misingi ipi,,,,,???? kwanza hamna jihad ya hamasa kama unavyodhani. Jihad feki ya Somalia inafanywa dhidi ya waislamu wa kisomali. (Hapo hakuna sababu ya jihad). Ikiwa kuna jamii isiyo ya kiislamu munaishi nayo kwa wema na amani...
  18. Chinese blade

    BAKWATA ichunguze Msikiti wa Kingo unaojengwa Morogoro

    Mi sipendi maneno mengi kama wewe, we lete proves na verification zako, nikugonge,,,,!!!!
Back
Top Bottom