Search results

  1. M

    Ubadhirifu: Huu ndio Msafara wa Makonda kwenye ziara za Wilayani huko Arusha

    Amebadilisha nini, tuanzie hapo kwanza.
  2. M

    Norway imesema Itamkamata Netanyahu na waziri wake Gallant

    Jielimishe kuhusu geopolitics na diplomasia ya kimataifa. Ukifanya hivyo, hutakua ukiamini kauli nyepesi kama hizo.
  3. M

    Mambo yasababishayo wake zetu kutembea na bodaboda

    Utapata stress bure kijana. Haya mambo hayana kanuni.
  4. M

    Siyo kwa ubaya, nauliza tu: Gari la Lissu halitengenezeki? Je, halikuwa na bima kubwa?

    Sasa aliyekwambia upime maji ya moto kwa kidole ni nani?:D
  5. M

    Ni jambo jema kuona hata wana CCM wamechangia Lisu apate gari; lakini pia inatufanya tuwafahamu viongozi wenye roho mbaya na chuki

    Ondoa uchafu wako hapa. Waache waliowiwa wachangie. Ishi na roho yako nyeusi uridhishe ego yako.
  6. M

    Mwanamke: Mtafute mumeo, usikae tu

    Vijana wa balehe ya kwanza utawajua kwa vinyuzi vyao.
  7. M

    Maambukizi VVU imekuwa janga, hatua kali zichukuliwe. Watu 163,131 wamekutwa na HIV mwaka 2023

    Akina nani mkuu. Hata wewe maadam unaishi na mtu, unaweza kuwa victim pia.
  8. M

    Maambukizi VVU imekuwa janga, hatua kali zichukuliwe. Watu 163,131 wamekutwa na HIV mwaka 2023

    Wazee wa kupiga deki kwa ulimi kisha ndio wanavaa condom wakati wa tendo hawatakuelewa.
Back
Top Bottom