Search results

  1. Kiputio Og

    SoC03 Watendaji wa serikali za mitaa na vijiji wajengewe uwezo wa kusimamia miradi

    kubwa sana hii natamani ingefika kwa wahusika kwa utekelezaji.
  2. Kiputio Og

    Kwanini Watendaji wa vijiji (VEOs na MEOs) Wanalipwa Mshahara mdogo ukilinganisha na majukumu yao?

    Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa watumishi ngazi ya serikali za Mitaa hasa kada ya Watendaji wa Vijiji (VEO) na Mitaa (MEO). Malalamiko yanayotokana na Mishahara midogo isiyokidhi gharama za maisha. Ukilinganisha na majukumu yao na Mazingira yao ya kazi. Malalamiko na vilio vyao...
  3. Kiputio Og

    Utekaji umeanza tena? Imam Mkuu wa msikiti wa GPB Geita atekwa

    Tutambue viongozi wa dini ndio chanzo cha uwepo wa Amani na Pia uvunjifu. wa Amani katik Nchi kutokana na mafunzo na maelekezo watoayo huingia moja kwa moja kweny mioyo ya Waumini wao. Hivyo kwa ushauri Kama ni serikali ndio imemchukua ni vyema ikatoa taarifa na hata kumpeleka mahakamani kama...
  4. Kiputio Og

    Waziri Nape tusaidie, kampuni za simu (hasa Halotel) zimezidi kutuibia

    hata huyo uliempelekea lalamiko pia nae ni changamoto
Back
Top Bottom