Juzi niliona video wamasai wakizozana na watu wanaosemekana ni polisi huko Zanzibar mwisho wa siku ilitokea kutokuelewana wakaanza kushambuliana
Baada ya ile video viongozi wakachukuwa hatua
Hapo ndio inadhiirisha tunaongoza na viongoz wenye akili ndogo na mihemko mingi wakurupukaji...
Hello
kwa miaka mitatu nipo hapa na niye nikiwapa vijana wenzangu ndugu zangu ABC za biashara ya viatu
Makala namba 1
https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/36816184
Makala namba 2
https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/40262713
Makala namba...
Hello
Kwa majina naitwa Innocent Kirumbuyo.
Ilo ndilo jina langu nililopewa na baba yangu mzazi mwalimu wilifred kirumbuyo na mama yangu Benedetha Beda masawe
Elimu yangu ni kidato cha nne
Nimehitimu shule ya sekondari Siha sec mwaka 2012
Ok
Tuende kwenye mada moja kwa moja.
Nikiri...
Hello
Mimi ni ndugu yenu innocent kirumbuyo kwa miaka miwili nimekuwa nikiweka story biashara ya viatu
1) Biashara ya viatu inaweza kukutajirisha
2) Utajiri uliojificha kwenye viatu vya mtumba
Nafarijika sana kwa kupokea maoni mengi na mawazo jinsi watu walivyo badili mitazamo yao na maisha...
KWA miaka mingi sana dunia inaendelea kushuhudia vita kati ya wayahudi na wapalestina huko mashariki ya kati wakigombea nchi inayoitwa Palestina. Vita hii inabeba dhana ya kidini zaidi kuliko kisiasa, ina historia ndefu na Ikumbukwe kwamba eneo hili ni chimbuko la dini kuu tatu za dunia...
Hello
Natumaini ni wazima wa afya mwaka jana mwezi kama huu niliandika uzi kwenye jukwaa ili kuhusu biashara ya viatu
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1790275/
Kwa kweli nawashukuru sana mlipokea ile biashara kwa mikono miwili na watu walinipongeza sana wengine kupitia ule uzi...
MAKOSA 3 YA MAISHA YANGU
-na Chetan Bhagat
MUHTASARI
Makosa 3 ya Maisha Yangu yanazunguka Govind, Omi, na Ishaan. Ingawa wana haiba tofauti, mapenzi yao kwa kriketi huwaunganisha. Wanaamua kuanzisha duka linalouza vitu vinavyohusiana na kriketi. Baba ya Omi ni kuhani hekaluni, na ana ushawishi...
Kila mwanzo wa chapter ya kitabu hiki kuna nukuu kutoka kwa watu mashuhuri. Mi binafsi ninazipenda sana, zimebeba maarifa muhimu sana. Nukuu hizi ni Kama;
#"The first request for success is the ability to apply physical and mental energies to one problem incessantly without growing weary".-...
Kwa majina naitwa mwalimu Walter Wilifred Munuo. Ni mwalimu katika shule ya msingi kwenye halimashauri ya Meru.
Naleta kilio changu nikiomba msaada kwa katibu wa elimu kwa manyanyaso yanayofanywa na ofisi hii chini ya afisa wa elimu Bw MARCUS K. NAZI ni ya uonevu mkubwa.
Mimi binafsi Mwalimu...
Najua watanzania wengi mnapenda sana kusoma vitabu . Shida iliyopo kubwa watanzania wengi lugha ya kingereza inatupa shida.
Sasa hiyo shida imekwisha kama utafanikiwa kuona huu uzi leo kwasababu ata ukiwa unajua lugha ya kiswahili tu utasoma kitabu chochote unachotaka kwa lugha ya kiswahili na...
Je, ushawahi kuhisi kwamba una mlima wa kupanda kila kunapokucha?
Kuna wakati ambao unazongwa na mitihani ya maisha kiasi cha kuhisi unapanda mlima kila siku, na kila asubuhi unapoamka, mlima ule bado uko pale pale unakukodolea macho.
Je, ni changamoto gani maishani ambayo umepitia na kuhisi...
Hello
Natumaini mnaendelea vyema na harakati za kutafuta maisha nimeona leo niwaibie siri jinsi hii biashara ya sandals na viatu inaweza kukutajirisha kwa haraka.
Historia
Mimi kwa majina ya kuzaliwa naitwa Innocent kirumbuyo nimezaliwa Kilimanjaro katika hospital marubeneti miaka mingi...
Niulizie chochote kuhusu biashara ya viatu vya kiume na viatu venyewe
Natumaini mko wazima wa afya mwenye changamoto za maisha hapa na pale pole sana amini kila jambo linapita na litakuacha ukiwa imara zaidi ya jana.
Ok
Tuingie kwenye mada moja kwa moja
Pengine ulishatamani sana kufanya...
Binti abadili dini kutoka uislamu kuingia ukristo huko nchini Uganda kumfuata mchumba wake ambapo baba yake ambaye ni Shekh mkubwa tu alimsindikiza kanisani kumtoa (giving away) ili aolewe na mwanaume wa maisha yake aliyemchagua.
Familia nzima ilishiriki ndoa hiyo mwanzo mwisho kwa furaha...
Kama kiongozi wa ACTWazalendo, nitawaandikia barua wakuu wote wa nchi za SADC na EAC na Makatibu Wakuu wa Jumuiya hizo kuwaomba kuitisha mkutano maalum wa jumuiya hizo, na kumwajibisha Rais Magufuli kwa kumtaka afuate hatua za kisayansi ktk kukabiliana na COVID19
Ni katika ufufuo wa Kristo kila mwamini alipokea
Uweza huu umemkalia kila mwamini
Kupokea taarifa zisizokuwa sahihi kumefanya waamini wengi wawe watumwa. Taarifa hizo huwaambia ni watu fulani maalumu ndio wenye mamlaka ya kufanya hivyo
Hizo taarifa ndio zimeloga waamini wengi
Hatukupokea...
Hatuwezi kuishi Duniani milele. Kila Mwanadamu siku zake zinahesabika.
Kila Tupatapo Taarifa za Kifo cha Mwingine,Tutumie fursa hiyo kujikagua na kukumbuka kwake Mola tulitoka na Siku Moja tutatwaliwa kwa kuwa hapa Duniani tupo kwa muda mfupi tu na sio makazi yetu ya Kudumu.
Mwl Kirumbuyo...
#unataka kutumika!
Unataka kuhudumu, unataka kuhubiri, kuongoza watu... naam, kuwafundisha!
Well, ni jambo jema! Lakini, nini kinakusukuma kufanya hivyo?
Ni utukufu na heshima kama ulivyoona watumishi wakiadhimishwa sana kwenye TV?
Ni ili na wewe umiliki magari makali kama Prophet fulani...
Kuna mitazamo lazima ife kwa wahubiri,
Unawaambia watu waache dhambi na watubu kwa kumaanisha.
Je, msamaha wa dhambi ni kitendo cha kufanya au ni zawadi tunapokea?
Unawaambia watu wampe Yesu maisha yao.
Je, huyu mtu unayemwambia atoe maisha yake kwa Yesu, ana maisha gani ya kutoa kwa Yesu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.