Dah! tupo tofauti sana binafsi namuacha lakini kinachomtokea muhusika hadi namuonea huruma,naamini Mungu analipa kisasi kizuri zaidi ni suala la muda tu
mm sio mtu wa kanisa sana ila nina nguvu ya ziada hadi watu wanadhani ni mchawi, mtu anaweza nipangia jambo baya kinachokuja kumtokea kama sio kifo atapata onyo la kudumu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.