Search results

  1. Doctor G

    Natafuta marafiki

    Jinsia yako tafadhali?
  2. Doctor G

    Kwa Mara ya Kwanza nimeroga mtu

    Dah! tupo tofauti sana binafsi namuacha lakini kinachomtokea muhusika hadi namuonea huruma,naamini Mungu analipa kisasi kizuri zaidi ni suala la muda tu
  3. Doctor G

    Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

    ” Yesu akawaambia, “Nawaambieni kweli, watoza ushuru na makahaba wanawatangulia kuingia katika Ufalme wa Mungu.
  4. Doctor G

    Looking for a Husband

    Mungu akujalie hitaji la moyo wako
  5. Doctor G

    Mwanaume mke wako akija kukulalamikia kuhusu mfanyakazi ambaye hamtaki fanya uchunguzi kwanza

    Alijiwahi baada ya kuona jamaa haingii ndani ya box ili apate kuwatawala
  6. Doctor G

    Wajue Mapepo katika maumbo ya Wanadamu

    mm sio mtu wa kanisa sana ila nina nguvu ya ziada hadi watu wanadhani ni mchawi, mtu anaweza nipangia jambo baya kinachokuja kumtokea kama sio kifo atapata onyo la kudumu.
  7. Doctor G

    Single mother tumeanza kushindwana na kutishiana maisha kisa mwanaye

    Upussy kama huo hata mm sivumilii kabisa nataka mtoto akue katika malezi sahihi
  8. Doctor G

    Mwanaume mke wako akija kukulalamikia kuhusu mfanyakazi ambaye hamtaki fanya uchunguzi kwanza

    ukitaka ugomvi mbaya duniani mwanamke akupende au akutamani alafu umkaushie hakuna rangi utaacha kuona,ni viumbe wabinafsi sana
  9. Doctor G

    Huduma ya Tigo Bima ikoje? Kuna mtu amewahi kunufaika nayo?

    Duh! voda bima vp au zote za mchongo tu.
Back
Top Bottom