Search results

  1. ze-dudu

    Ricardo Momo ana kipindi kizuri sema mvivu sana. Mtangazaji mwingine akopi kazi zake

    Hii segment ilikuwepo pale efm inaitwa chakuchabo before wasafi fm ila ilikuja kufa kiajabuajabu tu.....
  2. ze-dudu

    FT: Dodoma 0 - 1 Simba | NBC PL | Jamhuri Stadium | 17/05/2024

    Fred ana bao ngapi mpaka sasa
  3. ze-dudu

    FT: Dodoma 0 - 1 Simba | NBC PL | Jamhuri Stadium | 17/05/2024

    Fred ana bao ngapi mpaka sasa
  4. ze-dudu

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Hiki kizee kiwizard
  5. ze-dudu

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Manchester united itakua timu ya kwanza kubeba ubingwa wa uefa europa na conference league🙌🙌🙌🙌🙌
  6. ze-dudu

    Nigeria: Rais Tinubu aagiza Magari yote ya Serikali yawe yanatumia Gesi

    Vp huku sie wafuata mkumbo tunatangaza lini???
  7. ze-dudu

    Epuka kusambaza maudhui yasiyo na maadili. Anayedai kumiliki nyoka na kushiriki naye tendo, ajisalimishe

    Hii ni mada nyingine fungua thread yako uianzishe hapa haihusiki
  8. ze-dudu

    Saa 3 usiku mpaka saa 11 asubuhi simu inatumika

    Una miaka 14 Kichaka ulichoingia hakikufai
  9. ze-dudu

    Ubora wa Jude Bellingham ni upi?

    Kwa pesa aliyonunuliwa ancelloti hana namna inabidi amchezeshe tu
  10. ze-dudu

    Ubora wa Jude Bellingham ni upi?

    Mzururaji tu uwanjani
  11. ze-dudu

    Mada maalum ya ndege toka FB

    Nauliza ikiwa inatembea ardhini inaweza kurudi nyuma????
  12. ze-dudu

    DP World yashusha meli nzima ya vifaa bandarini, TPA wasema walishakabidhiana tangu April 7

    Wengine walishaenda kwa mwarabu na kazi washaanza kufanya mtu kachungulia kaona bado miaka mitano astaafu yanini kuendelea na tpa
  13. ze-dudu

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Ninachojua ni kwamba zile bao 8 haziwezi rudi
  14. ze-dudu

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Ligi iishe tu nishachoka mie
  15. ze-dudu

    DP World yashusha meli nzima ya vifaa bandarini, TPA wasema walishakabidhiana tangu April 7

    Pale kuna wafanyakazi zaidi ya 500 je huko mikoani wataweza kutosheleza wote????
  16. ze-dudu

    DP World yashusha meli nzima ya vifaa bandarini, TPA wasema walishakabidhiana tangu April 7

    Uyasemayo ni kweli tupu wafanyakazi wa tpa shuhuli hawana tena pale
  17. ze-dudu

    Borussia Dortmund (The Black and Yellows) - Official Thread

    Mmerudi tena wembley
Back
Top Bottom