Search results

  1. Marco Polo

    Israel: Mawaziri Wawili watishia kujiuzulu na Kuvunja Serikali ikiwa Israel itasitisha Mapigano Gaza

    Hii issue ishakuwa ngumu kwa Netanyau mambo kama haya nchi inatakiwa kuwa na umoja, wanasiasa vigeugeu pamoja na wananchi wanafiki wachache wanamkwamisha kwenye majukumu yake kama vipi aondoe majeshi Gaza baadae watamkumbuka maana hao wapuuzi wa Hamas wasipomalizwa kamwe hawatoacha kurusha...
  2. Marco Polo

    Borussia Dortmund (The Black and Yellows) - Official Thread

    Wapuuzi kumbe Hawa jamaa.
  3. Marco Polo

    Borussia Dortmund (The Black and Yellows) - Official Thread

    Kwann ule Uzi wa live coverage mods wameufunga?
  4. Marco Polo

    FT: Borussia Dortmund 0 - 2 Real Madrid | Uefa Champions League Final | Wembley Stadium | 01.06.2024

    Anceloti sijui kafikiria nini kumuanzisha Thibaut Courtois natamani Lunin angemaliza kabisa maana ameonyesha uwezo
  5. Marco Polo

    FT: Borussia Dortmund 0 - 2 Real Madrid | Uefa Champions League Final | Wembley Stadium | 01.06.2024

    Mm sio mtaalamu sana wa mpira ila naona kama game plan ya Madrid haijaenda vile wanataka
  6. Marco Polo

    FT: Borussia Dortmund 0 - 2 Real Madrid | Uefa Champions League Final | Wembley Stadium | 01.06.2024

    Hawa mashabiki wa Dortmund hivi Huwa wanalipwa ama?
  7. Marco Polo

    Houth wafanya shambulio dhidi ya Marekani ambalo hata China na Urusi hawajawahi fanya

    Yaani nimuunge mkono mtu kisa mkristo hata kama kaandika utumbo?
  8. Marco Polo

    Sipendi Morning Glory

    Kiwe kipengele kwenye katiba mpya sio!
  9. Marco Polo

    Mwenezi Makalla: Awamu ya 6 Ndio Serikali Pekee Iliyoongoza Kutoa Pesa Nyingi za Maendeleo.

    Pia hatujui hizo pesa zinatumika kwa ajili ya kitu Gani maana kutwa wanafikiria kutukamua tozo zaidi wananchi wa kipato Cha chini.
  10. Marco Polo

    Huyu mwanamke ana tatizo gani?

    Kwan wapi niliposhangaa mkuu? Mm nimekupa hongera tu binafsi Sina uwezo huo maana kipato changu chenyewe kwa mwezi hakifikii huko ni kweli umaskini sio kitu kizuri na hakuna anayeupenda.
  11. Marco Polo

    Kampuni ya Adani yasaini Mkataba wa miaka 30 kuendesha Gati ya 2 ya Bandari (Zamani TICTS)

    PHD za shukrani kwa kuwauzia nchi, unauza bandari alafu unarudi kwa wananchi kuendelea kuwakamua zaidi tozo Kila sehemu nasikia Kuna tozo ya Kila lakini ya simu na vingamuzi inakuja.
  12. Marco Polo

    Hasira yatawala Moscow baada ya NATO kuiruhusu Ukraine kushambulia ndani ya Russia kwa silaha za NATO

    Kabisa, silaha walizokuwa wanapewa hawakuruhusiwa kushambulia ndani ya Urusi ila zile wanazotengeneza wenyewe Ukraine ndio zilikuwa zikihusika kushambulia baadhi ya sehemu kama Crimea na Belgorod
  13. Marco Polo

    Houth wafanya shambulio dhidi ya Marekani ambalo hata China na Urusi hawajawahi fanya

    Kwahiyo Kila kitu wanachokisema unataka na sisi wenye akili zetu timamu tuwaamini? Mbona mwanzo walikuwa wanatoka taarifa ya mashambulizi Yao na video wanatuonyesha kulikoni siku za hivi karibuni? Hatufanani uwezo wa kufikiri ww na kobaz wenzako endeleeni kuamini.
  14. Marco Polo

    Jeshi la Israel walichokutana nacho kambi ya Jabalia ni lazima wakimbie. Rafah itakuwa ni hivyo hivyo

    Ahsante kwa kukiri kwamba Zaid ya Hamas 100 waliuwawa hiyo inatosha
  15. Marco Polo

    Vijana tulio 'Mahandsome' tunapata “favor” maeneo mengi sana

    Mwanaume kujisifia uzuri sio dalili nzuri. Bila shaka huwezi kukosa tabia hizi; -Unashinda sana kwenye kioo. -Una share vipodozi na dada zako -Unajipaka mafuta makalio.
  16. Marco Polo

    Huyu mwanamke ana tatizo gani?

    Hongera tajir 1.5m SI haba ila kapime DNA huyo mtoto.
  17. Marco Polo

    Donald Trump apatikana na hatia ya makosa yote 34 katika kesi ya kughushi nyaraka na kutaka kuficha kuhusu hela alizomlipa pornstar ili akae kimya

    Hapo kwenye kulala na mchezaji wa video za ngono sijaelewa, Ina maana jamaa alifanya haya akiwa Raisi? Imekuwaje mtu mwenye mkwanja kama Trump anarlenda kulala na pornstar?
  18. Marco Polo

    Njia ya Kibiti kwenda kwenye laana ya Cabo Delgado

    Sio kwamba kulikuwa mm naona mpaka sasa balaa lipo watu wanataabishwa sana na hawa wapumbavu.
Back
Top Bottom