Search results

  1. Arch - Forum Tz

    SoC03 Somo la kilimo lifundishwe kama somo linalojitegemea na la lazima mashuleni. [kilimo cha mazao na mifugo]

    UTANGULIZI: Elimu ni ujuzi, maarifa au utaalamu anaopata mtu kutoka kwa mtu, mashine au uzoefu kutoka katika mazingira aliyopitia. Hata hivyo elimu inaweza kuwa Rasmi au isiyo rasmi. Elimu rasmi ni aina ya elimu inayohusisha usajili wa wanafunzi na kuwaweka darasani kwaajili ya kujifunza kwa...
  2. Arch - Forum Tz

    SoC03 Umuhimu wa Katiba Mpya na Kasi ya Mabadiliko

    #Storyofchange2023 Mwandishi: Wa Kale Mawasiliano, Email: officialmapatotz@gmail.com Simu: +255745922142 Utangulizi: Katiba naweza kusema, ni taratibu, miongozo, kanuni na sharia zinazotumika katika utekelezaji sahihi wa majukumu mbalimbali katika maisha ya kila siku ya mwanadamu. Ikiwa...
  3. Arch - Forum Tz

    SoC01 Kataa na Pinga Unyanyasaji, Ubaguzi na Ukatili Wa Makundi Maalumu Katika Jamii

    Katika jamii zetu yapo makundi Mbalimbali ambayo yanakumbwa na unyanyasaji, Ubaguzi pamoja na ukatili. Licha ya kuwa wapo watu wengi ambao wankumbwa na hali hiyo ila nitajikita katika makundi maalumu. Makundi hayo yapo katika mgawanyo huu: Makundi haya kila kundi linachangamoto yake na...
  4. Arch - Forum Tz

    Furaha Ya Maiti

    Naita furaha ya maiti kwakua sasa jamii iliyoumia na kukaa kiunyonge kwa miaka mingi inafurahia namna mpya ya maisha yasiyo ya vitisho lakini ukweli ukibaki palepale kuwa bado jeneza na kaburi ni lilelie ila sanda pekee ndiyo imebadilishwa. => Kwanini makato ya miamala yaongezeke => Kwanini...
  5. Arch - Forum Tz

    Siku 7 Kuzimu: Hii Siyo Siasa tu bali ni Siasa inayogusa Hisia...

    "Sukuma Ndani" Hii kauli naikumbuka kila ninapoangalia Jinsi ambavyo Viongozi Wa Upinzani na Wanaharakati Wa Tanzania Wanavyo Sota kila Wiki ndani Ya Siku Saba (7). Utakuwa ni Mgeni wa Siasa kama Hujui kinacho wakuta Wapinzani Nchini Tanzania. Kinachoniuma ni hii ya "Siku Saba Kuzimu"...
Back
Top Bottom