Jumamosi nilipokea meseji kutoka posta ikisomeka "Jumamosi njoo Posta ya Geita na kitambulisho chako".
Nikajua mzigo wangu kutoka mjini AliExpress utakuwa tayari umeshawasili nikahesabu siku hatimae leo asubuhi nikaelekea POSTA.
Ile tu nafika nikapewa kikaratasi nikaelekezwa niende ofisi za...
Kama umezaliwa kijijini kuanzia miaka ya 90 kurudi nyuma hebu jaribu kuvuta picha ya mazingira nyuma(mito, milima, mapori) jinsi yalivyokuwa then linganisha na leo ndio utaweza kukielewa ninachoenda kuzungumzia.
Nimezunguka sehemu nyingi za nchi hii kutoka kaskazini, mpaka kusini kanda ya kati...
Maeneo mengi ya uchimbaji yanamilikiwa na watu wanaojulikana ndio wenye leseni za uchimbaji kwa eneo husika...
Hii njia ni ya kinyonyaji na inaneemesha wachache wenye connection na wakubwa ndio maana nahisi haipigiwi kelele sana maana inaowaumiza ni wale wasio na sauti.
IKO HIVI
Ifahamike...
Kuna simu LG velvet ni mpya nilichukua AE, simu ni toleo la Korea T-Mobile
Iko unlocked kwa mtandao wowote shida ukitaka kuunga kifurushi mfano upige *149*01# ujumbe unaokuja ni kama huo hapo kwenye picha na heading!
Wakuu wasalaam!
Natarajia kuagiza hili gari hivi karibuni kama mambo yatakaa sawa!
Bei zake nakuta ziko juu kidgo kuanzia 9M hadi 15M kwa site ya befoward kabla ya kodi ya tra.
Naombeni ushauri na mapendekezo mbadala kama kuna other option inaweza kuwa bora zaidi ya hii isiyozidi 25M
Kwenye...
Nahitaji nichukue mojawapo kati ya hizi simu kwenu wakongwe wa gadgets ipi itakuwa njema kwa vigezo hivi...
1-Battery backup
2-Camera
3-premium look
4-display
Mapendekezo pia kama kutakuwa na chaguo bora zaidi ya hayo kwa bajeti isiyozidi 1.2M
Kwenye pilika za kusaka maisha nimejikuta najiingiza kwenye shughuli za uchimbaji wa dhahabu huku Mkoa wa Geita wilaya ya Nyang'whale kwenye machimbo ya Igalula sio mbali sana kutoka yalipo makao makuu ya wilaya hii Kharumwa
Kinachonipa shida ni taratibu na mrundikano wa kodi zilizoko mlimani...
Nahitaji PC tajwa hapo juu kwa yeyote anaeuza
>Ofa yangu ni 400,000tsh
>Isiwe na betri mbovu
>Iwe angalau core i 5
>Kuanzia generation ya 5 n kuendelea
CONTACT:
0756908809
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.