Desemba 02 ya kila mwaka ni tarehe ambayo miongoni mwa wengi waliozaliwa siku hiyo, basi mimi kamtu kadoogo kasiko na umuhimu sana nilizaliwa.
Yes namshukuru Mwenyezi Mungu kwa yote, ameniongoza katika mengi ambayo leo nikigeuka nyuma siamini kama nilipita kule. Nakumbuka incident moja ambapo...
JF imekuwa sehemu salama na sahihi kwa watu wengi wanaoitembelea kwa makusudio mbalimbali yakiwemo Kupata taarifa mbalimbali na hata kushirikisha jamii taarifa mbalimbali....
Pamoja na kwamba katika wengi hakukosekani mengi, lakini mara zote JF imekuwa mahala sahihi na chaguo la wengi.
Neno...
Umepevuka na kuwanda kaka
Midundo pu! pu! pu! pasichoka
Mawazo yangu umeyapakata
Hisia za mahaba kufichuka
Utungu wa simanzi unakumbuka?
Mchana damu wasukuma
Usiku hukuacha kuvuma
Mara nyingi nilikwama
Maradhi na hatari lawama
Uongo pia nilisema
Mikono uliijaza nguvu
Damu ilifika...
Nikiangalia nyuma yangu naona alama ya nyayo zikiwa zimekuja uelekeo wangu, nikitazama kwa umakini nagundua kuwa ni nyayo zangu hadi hapa niliposimama.
Sioni mwanzo wake ila naambiwa kuwa walioona mwanzo wa hatua zangu nilikuwa nashahibiana na haiba yangy ya leo. Lakini yote ni heri maana tangu...
Heading hapo juu inasomeka kama haijakamilika vile.
Inawezekana kila mwanaJF akawa amejenga picha yake na uelewa kuhusu hili neno Kupata Mtoto
Mtoto ni tunu na furaha ya wazazi, ingawa inawezekana wazazi hao wakawa wapo ktk mahusiano rasmi ya ndoa, mchepuko na kadhalika. Lakini si mara zote...
Kengele za hatari zililia kichwani wakati nashusha mguu kutoka godoroni.
Nilipaswa kudamkia ibadani lakini guts zikanileta online, ndo nakutana na zahama la kuzushiwa kuaga dunia (ingawa poster alitaka kutumia tamathali ya semi).
Wakuu nipo, tena nipo sana nikifuatilia na kumoderate kila...
SHERIA YA TAKWIMU, SURA 351(THE STATTISTICS ACR, CAP.351
1.0 Utangulizi
Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) ni Wakala wa Serikali yenye mamlaka ya kisheria ya kutoa takwimu rasmi nchini.
2.0 Mjukumu ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu yameainishwa katika Sheria yaTakwimu, 2002 (Na.1, 2002). Miongoni...
It took me all way since morning try to think and think and think how to wish you happy life in this very moment where you celebrate your day.
Always, i am just like robot (around), to see and read most posts and wishes without neglecting comments behind the name.
I conclude into the simple...
Why Tanzania's cotton crop is still bound up with poverty
A new initiative aims to tackle the unscrupulous agents and lack of credit that stop Tanzanian farmers making a good living...
Amazon is set to join the tablet wars on Wednesday as it launches a rival to Apple's best-selling iPad, a device that has made digital tombstones of all the competition so far.
Click full story HERE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.