Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Sina wasiwasi kabisa kuwa mashitaka ya uhaini dhidi ya Lissu sio rahisi kuyathibitisha mahakamani na hivyo naamini katika hili shitaka hawezi patikana na hatia. Hofu yangu ni makosa ya mtandani...
2 Reactions
18 Replies
504 Views
Kwa Mara nyingine tena, Dola imethibitisha kua ndio inayokitumia chama Cha Mapinduzi kuendesha Nchi. Adui wa Siasa Safi, Utawala wa Sheria na Maendeleo ya Watu ni DOLA inayokitumia CCM. Mwl...
8 Reactions
64 Replies
853 Views
Tanzania's opposition leader Tundu Lissu arrested after rally | Africanews Tundu Lissu among Tanzania's top Chadema figures arrested in crackdown Tanzania clamps down on opposition rally, arrests...
28 Reactions
57 Replies
2K Views
GTs, Kila anayemwangalia Mheshimiwa Lisu kama kiongozi anapaswa kuelewa Lisu ni mwanahakati. Hotuba zake, badala ya kuwa na mafunzo ya kujenga, zimejaa maneno ya kejeli, uwongo wa wazi, na...
3 Reactions
19 Replies
165 Views
Sijui kanisani ni mahala pa kutongozana!!! Unakuta binti kavaa skirt limembana makalio mpaka chupi inaonekana kabisa. Au Mabinti wanaenda kujiuza kanisani?
17 Reactions
63 Replies
967 Views
Ukweli ni kwamba ukimkamata mtu kama Tundu Lissu na ukamfungulia kesi unakua haumshushi bali unazidi kumuongezea credibility kwa watu na anazidi kujikusanyia wafuasi. Kumkabili Tundu Lissu...
1 Reactions
4 Replies
116 Views
😁 Hili li nchi ni kichekesho , yaan kuitamaza Tanzania wakati ukiwa unaishi taifa lingine , nikama umepata ofa ya kutizama stand-up comedy Bure. Siasa za kipumbavu sana!
3 Reactions
47 Replies
473 Views
Wanabodi,Ukishangaa ya Musa utastaajabu ya Firauni,Nguvu iliyotumika kumkamata Tundu Lissu inashindwaje kuitoa pikipiki iliyopo kituo cha bondeni upande wa kushoto pale darajani ukiwa unatokea...
2 Reactions
25 Replies
574 Views
Habari wakuu nimerudi kwenu kijana wangu siku ya Eid pili aliniambia anahisi akiwa anapumua au kuvuta pumzi kwa ndani anaskia maumivu sehemu yoote ya mgongo,nkamuuliza Hali imekuanza lini akasema...
2 Reactions
15 Replies
276 Views
Kijana huyu ndiye aliyeteuliwa kuwa mwanaume mzuri zaidi katika sayari ya dunia, Naijulikane Mimi ni baba yake mzazi 😍
4 Reactions
31 Replies
950 Views

FORUM STATS

Threads
1,958,024
Posts
52,775,613
Back
Top Bottom