Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakuu, Huyu binti simuelewi,inawezekana vipi asinijue jina ili hali nimemwambia mimi ni mpenzi wake?
0 Reactions
2 Replies
6 Views
Nlitegemea sisi Afrika tungekuwa moja ya masoko makubwa kabisa ya bidhaa za China. Sivyo. Why? Huku wanatuletea tu takataka soko lao kubwa lipo Ulaya na Marekani. Ndo maana jamaa wanatudharau tu...
0 Reactions
4 Replies
145 Views
Wanabodi, Hiki ni kipindi cha Hard Talk cha BBC https://youtu.be/k8VtAND6718?si=AbTE7UXdro-reN-n Declaration of Interest Naomba ku declare interest kuwa japo mimi nina chama na sio chama cha...
70 Reactions
562 Replies
60K Views
Yani mngejua tu namna China anavyoichukia Marekani ya awamu hii na jinsi walivyo na hasira acheni tu, Soko kubwa la dunia nzima lipo Marekani wao wamepigwa pin kwa ushuru mrefu halafu nchi zingine...
4 Reactions
37 Replies
745 Views
Kwa mfano nina Laini ya Airtel Tanzania niliyokuwa Naitumia nikiwa Tanzania, ila naambiwa kuwa nikirejea Tanzania haitokuwa inatumika (na Ninunue Laini mpya) kwani itakuwa Imeshafungiwa kwani sasa...
0 Reactions
4 Replies
46 Views
Hapo vip!! Kwa ubora wa Simba na hadhi yake inauwezo wa kucheza ligi kuu ya misri kisha ikatwaa kombe. Tukumbuke Simba ni timu ya 4 sasa hivi kwa ubora na ukubwa barani Afrika,hivyo kwa hujuma za...
0 Reactions
3 Replies
4 Views
Fukuto ni kubwa na linazidi kuwabana hewa! Hapatoshi wala hapatoshani... Hatimaye wameamua kumkamata.. Hii ni aibu kubwa Sana! Na ni kushindwa kubaya kabisa Walianza kwnye kinyang'anyiro cha...
47 Reactions
63 Replies
2K Views
Uasi ni neno la kiswahili likiwa na maana kamili ya kwenda kinyume na jambo. Kuyakataa au kuhamasisha kuyakataa ya CCM na agenda zake zikiwamo za kutaka ufanyike uchaguzi wenye kuwapendelea wao...
1 Reactions
4 Replies
47 Views
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhan Kailima amesema mpaka sasa hakuna chama cha siasa ambacho kimewasilisha malalamiko juu ya kanuni za maadili ya uchaguzi...
2 Reactions
5 Replies
173 Views
Sikiliza huu unabii kutoka kwa mchungaji maarufu hapa Tanzania: Note: anayeshindana na lissu atakwenda na maji
2 Reactions
14 Replies
50 Views

FORUM STATS

Threads
1,958,359
Posts
52,784,849
Back
Top Bottom