Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Siku zote nimesema Polisi wa Tanzania mara nyingi sana wanatoa statement za uongo na za kutunga wao wenyewe kutokana na matakwa yao, ambayo yanaweza kuwa ni ya kisiasa pia. Hii inafanya...
25 Reactions
152 Replies
4K Views
Kashfa kubwa zaidi ya Ufisadi Nchini Tanzania kuliko zile za EPA na ESCROW!! CCM wanamiliki mgodi mkubwa sana wa Makaa ya Mawe Mkoani Ruvuma. Haifahamiki pia ni kwa namna gani na kwa taratibu...
44 Reactions
256 Replies
4K Views
Salamu wakuu kwenye jukwaa la burudani. Maisha ya mwanadamu ni mafupi, hivyo hata kama hatuna kipato kikubwa hatuna budi kujitafutia furaha sisi wenyewe maana muda hausimami na umri unaenda. Si...
1 Reactions
3 Replies
54 Views
Hii ndio Taarifa Mpya ya leo kutoka Kanda ya Nyasa, kwenye vile vinavyoitwa vipora vilivyosalia. Wananchi wote wa Mbarali wakiwemo wanaccm wamekubaliana na hoja ya Chadema ya No Reform No...
3 Reactions
10 Replies
174 Views
Wanabodi, Naomba kuanza na angalizo! Simple Mind Discuss People Ordinary Mind Discuss Events Great Minds Discuss Ideas。 Hili ni moja ya mabandiko yangu ya kiutu uzima,ya ku discuss ideas, hakuna...
48 Reactions
176 Replies
4K Views
1. Mwenye kujua maslahi ya Wakurugenzi TANESCO atujuze. Naweza kulamba uteuzi hapo TANESCO muda wowote, insha'Allah. 2. Nipo Mlingotini ubani kama wote. Safari hii MD lazima nichukue mwenyewe...
4 Reactions
12 Replies
72 Views
Wadau, Napenda kupata tu ushauri, ninachotaka kufanya sifanyi na ninachofanya sio ninachotaka kufanya.. ... Nisikuchoshe ni hivi, mwaka jana nilishawahi kulala na mwanachuo fulani kumbe ni...
1 Reactions
6 Replies
7 Views
Kundi au watu wafuatao wameshiriki kuiuwa CHADEMA kwa mikono yao kwa makusudi mazima na wanastahili kulaumiwa sana 1.Wajumbe wa mkutano mkuu 2.Lissu 3.Lema 4.Heche 5.Wanaharakati uchwara 6.Dr Slaa...
0 Reactions
13 Replies
224 Views
SEHEMU YA KWANZA Salaam na heshima nyingi kwenu; Uongozi, Wanachama, Wapenzi na Wadau wote wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Waswahili husema; haraka haraka haina baraka, simba...
1 Reactions
77 Replies
1K Views
Wakuu kwema... Labda wenye ujuzi wa mambo ningependa mnijuze hivi kwanini watu wanaiba hii mikate?? Mikate hii inaweza kupatikana madukani mtu ukanunua na kufanyia mambo yako hata kama ni kunywea...
2 Reactions
17 Replies
111 Views

FORUM STATS

Threads
1,958,932
Posts
52,805,622
Back
Top Bottom