Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mwaka Jana mwezi wa kumi nilinunua kuku wa kienyeji ili niwafuge kwenye nyumba yangu ambayo haijaisha vizuri huko Boko, Chasimba. Nilikuwa na kuku saba broiler na wawili wa kienyeji, dume na...
2 Reactions
3 Replies
115 Views
Kuna aina tatu za Viongozi wa kisiasa Barani Afrika, ikiwemo Tanzania. 1. #KUNDI_UKOMBOZI: Aina ya kwanza ni viongozi watetezi wa nchi, ambapo kwenye kundi hili ndipo utawakuta watetezi wa...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Nikiwa mwanamke mzaliwa wa mkoa wa tanga kuna kitu nimejifunza kwangu mwenyewe na kwa wenzangu pia. Wanaume wa bara wanatupenda sana, lakini kinacho haribu mahusiano yetu huwa ni wazazi wao...
11 Reactions
245 Replies
100K Views
Ndoa nyingi zinaharibika kwasababu mke au mume kumsema mwenzie kwa watu hovyohovyo.Ni vizuri kuongea nyie wawili panapotokea kutokuelewana.Ugumu unatoka wapi,mbona mnavuliana nguo na kushiriki...
3 Reactions
3 Replies
59 Views
Mke wa Rais mstaafu wa awamu ya nne, Mama Salma Kikwete leo amekuwa miongoni mwa wabunge wabunge la Tanzania walioshiriki zoezi la uoshaji magari ya watu mbalimbali kwa lengo la kupata fedha...
10 Reactions
88 Replies
2K Views
Katika mazingira gani? Mi nilipataga trafiki mmoja Kibaha pale Maili moja. Alinikamata kwenye ile zebra crossing. Nikalipa faini kiroho safi halafu nikampa business card yangu. Ndiyo ikawa hivyo.
7 Reactions
121 Replies
22K Views
William Shakespeare aliwahi kusema kwamba "Nililia sana nilipokuwa sina Viatu lakini nilinyamaza baada ya kukuta Mtu hana Miguu" Hivyo ndivyo ilivyo hata leo hii...Unaweza kumsimulia Mtu kitabu...
2 Reactions
3 Replies
47 Views
Habari Wana JF Naomba kuliza kiwango Cha mshahara wa clinical officers 2 kwa serikalini wanalipa shingapi
2 Reactions
26 Replies
1K Views
Mada maalum ya uzao wa Afrika ambao haufahamiki sehemu kubwa ya dunia.. Ni picha na habari kwa niaba ya FB na mitandao mingine SIRI ILIYOFICHUKA KUHUSU MILLI VANILLI. MILLI VANILLI ni kikundi...
16 Reactions
1K Replies
55K Views
Wana JF,kuuliza si kosa,kuna huyu jamaa,hana baya na mtu si mwingine ni mwenzetu Rarara rerere,Sijaziona like zake kitambo! Ni hayo tuu wenzangu.
11 Reactions
20 Replies
188 Views

FORUM STATS

Threads
1,956,997
Posts
52,746,535
Back
Top Bottom