Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ashurey kwa sasa ndio dancer namba moja wa kike Tanzania. Vigezo anavyowapita wengine wote. 1. Anajua kucheza style zote za muziki 2. Ni mbunifu 3. Moves zake zinabadilika 4. Anaweza kucheza...
0 Reactions
15 Replies
431 Views
PLN 0001 2BR Ramani ya Vyumba Viwili Living room (Sebule) 1 Master bedroom with a Dressing room (W.I.C) 1 Single bedroom Kitchen (Jiko) Public toilet (Choo cha jumuiya) Ramani hii ina privacy...
53 Reactions
1K Replies
78K Views
Natumai mko salama. Kama kichwa cha habari kinavyosema kwamba dunia ni uwanja wa vita za hatima kwahiyo kila mtu ambae yuko hapa duniani anapaswa kujua kwamba yuko vitani na swala la kushinda au...
29 Reactions
161 Replies
9K Views
Hello Wanabodi mimi ni Kijana nipo tu nafanya ujasiriamali mdogomdogo kiasi sikosi hela ya kulipa Pango na Kula Napenda kutafuta Mke awe Mwalimu wa Daraja lolote lile asizidi miaka 25, asiwe...
5 Reactions
21 Replies
182 Views
Tunapoelekea mwisho wa mwaka, nikaona nijaribu kuleta kwenu hii hoja ambayo imekua ikiibuka Mara nyingi hasa Kwa wanandoa wanaume. Hapa naongelea Mme ameoa, anaamua kuchepuka anasema hawezifanya...
16 Reactions
104 Replies
4K Views
Habari za weekend wanajamvi! Unawezaje kusamehe kirahisi mwanaume aliyecheat tena kwa kumleta mwanamke mwingine nyumbani mnakoishi!! ???!!! Ni mumeo wa ndoa na mna watoto. Katika harakati za...
20 Reactions
214 Replies
14K Views
Wakuu naomba mnisaidie sehemu za kupata field ya mtu aliesomea kozi ya International Relations and Diplomacy, kwasababu nahangaika Hadi now sijapata field, yaani duuuuh!!!! 🤔 0787044620 my number
0 Reactions
9 Replies
81 Views
Nampa pole Mwakinyo hapa ndo Tanzania Mwakinyo amekuwa bondia mwanaharakati, ametetea maslahi ya bondia, ni kijana anajielewa Mwakinyo amekuwa akigomea malambano ya kinyonyaji hadi viongozi...
9 Reactions
80 Replies
2K Views
Huyu mzee nimemfatilia kiasi chake, Ana busara,ana utulivu,sio mlalamishi,hana nguvu nyingi za mwili kama vijana ila ana nguvu katka kauli! Na kwa sababu hiyo katika mijadala wengi hasa vijana...
3 Reactions
37 Replies
263 Views
Natokea Kanda ya ziwa Tanzania kubwa na nimetembea baadhi ya maeneo ila aisee hii Kanda ya kati ni shida Ukiwa safari huoni mgombea, majaruba, Mti wa mhogo n.k yaani sehemu ni kame kama Nini...
0 Reactions
1 Replies
17 Views

FORUM STATS

Threads
1,949,455
Posts
52,514,676
Back
Top Bottom