Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu yuko Nchini Uganda kwa ziara ya Kikazi. Taarifa iliyosambazwa na Chama chake kote Duniani hii hapa Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi
13 Reactions
60 Replies
1K Views
Wakuu, Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paulo Chacha, amemwagiza Katibu Tawala wa Mkoa kumsimamisha kazi Meneja wa Wakala wa Huduma za Ununuzi Serikalini (GPSA) Mkoa wa Tabora, Mayala Mburi, kutokana na...
9 Reactions
50 Replies
2K Views
Haya habari mwana JF. Najua kuna stendi nyingi za mabasi nchini Tanzania na nyingi mno zina changamoto zake. Changamoto nyingi NI hawa vijana wapokea abiria kwa ajili ya kwenda kuwaonesha ofisi...
1 Reactions
4 Replies
105 Views
Watu wa Mungu ..... Sifa zake Awe na umri 35 -45 Awe hajatumika . Awe anachapa kazi Awe tayari kuoa nakuhudumia kama upo serious njoo inbox Chapu fulsa hii ni yenu. Awe mlokole tafadhali dhehebu...
6 Reactions
50 Replies
314 Views
Shughuli ya uzalishaji ni shughuli ambayo inazalisha bidhaa au huduma Nchi nyingi kama China, Russia, South Korea, Angola, Nigeria n.k zimeendelea Kwa kuwa asilimia kubwa ya wananchi wanashiriki...
8 Reactions
53 Replies
587 Views
Imagine Wanajamiiforums wote wananizidi dhambi halafu maisha yangu yapo hivi(......) Nina mashaka na uwepo wa Mungu
19 Reactions
418 Replies
4K Views
Kuna baadhi ya mama huwapaka watoto wao damu inayotoka ukeni punde baada ya kutoka kujifungua. Kwa nilivyosikia hii kitu ipo sana kwenye jamii ya Watutsi. Wanasema punde mama anavyokabidhiwa...
18 Reactions
190 Replies
3K Views
Kwa Mujibu wa sheria za Uchaguzi ni kosa kubwa kwa Mgombea kuanza kufanya kampeni kabla ya muda maalum uliopangwa na Tume. Kwa zaidi ya miezi miwili sasa, Bidhaa mbalimbali zenye nembo na chapa...
6 Reactions
16 Replies
542 Views
Jamii, hii Barabara inayotoka Tengeru sokoni kuelekea Chuo cha maendeleo ya jamii na Chuo cha mifugo (LITA) Tengeru NI mbaya Sana, viongozi hebu tupieni jicho hii barabara inatesa Sana Kwa kweli.
0 Reactions
4 Replies
81 Views
Robert Amsterdam naye ni wakili wa Bobi Wine.... Imenikumbusha kipindi kile cha kukaribia uchaguzi....zile NGO's ambazo zilitumiwa kupitisha fedha kutoka kwa wafadhili kwenda kwa CDM....na...
0 Reactions
0 Replies
1 Views

FORUM STATS

Threads
1,946,046
Posts
52,410,101
Back
Top Bottom