Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Yaani imekuwa kama keroo sasaa mnafanya wengine tusiende makanisan Yaan kuna viongozi kila ukisikia ibada mahubiri yao 50 perc wanaanza kukandia wach wa mafuta sijui mkaa sijui majivu ooh...
5 Reactions
20 Replies
423 Views
Oleksandr Usyk anakua UNDISPUTED CHAMPION wa kwanza wa Heavyweight (Boxing) kwenye 4 belt Era, mara ya mwisho Undisputed Champion kwenye division hii alikuwa Lennox Lewis mwaka 1999 wakati wa...
6 Reactions
40 Replies
1K Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
927 Reactions
1M Replies
41M Views
Najiuliza tu hawa jamaa wanawezaje kumbeba raisi kwenye helicopter ya mwaka 1978?? 🫤 Na matambo yao yote ya kurusha drone na misile 300 ambazo zote zilidondoka njiani, bado kumbeba raisi...
28 Reactions
82 Replies
3K Views
American-Israel Mercenary Benjamin Reuben Captured During Failed Coup-Attempt in the Congo MAY 20, 2024 American-Israeli mercenary Benjamin Reuben has been captured after a failed coup in the...
1 Reactions
10 Replies
223 Views
ni vizuri zaidi kumshukuru na kumuomba Mungu kila wakati, bila kuchoka wala kukata tamaa. sio tabia njema wala sio tabia nzuri kujenga mazingira au hali ya huruma na kuombaomba kwa wanyonge ambao...
1 Reactions
9 Replies
95 Views
Iko hivi kuna binti flani hapa kitaani kwangu nilikuwa napiga mzigo. nilimpenda kindakindaki. Moyo wangu na hisia zangu zote zililala usingizi wa fofofo kwake Sikuwa na ubahiri kwake, Mchizi...
2 Reactions
12 Replies
229 Views
Kuna kaka (baba) mmoja anakopesha kwa riba, akawa ana date dada mmoja mke wa mtu.... Yule dada na mumewe wakapata dharura, akashauri mumewe wakope pesa kwa mchepuko (mumewe hajui kama mkopeshaji...
2 Reactions
7 Replies
78 Views
Habari wadau kwa anaeuza pagala la maeneo ya Darsalam ambazo huduma muhim zipo kama maji, umeme barabar naomba anicheki Pm.
2 Reactions
3 Replies
80 Views
Akisha vunja ungo she will become a stranger to you. Utabaki unashangaa na kujiuliza, hivi huyu ndio binti yangu yule yule alie kuwaga ananisikiliza na kunitii kwa kila jambo alipokuwa na miaka...
60 Reactions
166 Replies
9K Views

FORUM STATS

Threads
1,855,544
Posts
49,665,718
Back
Top Bottom