Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ni wazi Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema unafuatiliwa zaidi na viongozi wa CCM kuliko Wanachadema wenyewe Dkt. Kigwangalla amechachamaa ukurasani X akidai Mbowe hataki kuachia Uenyekiti wa...
14 Reactions
67 Replies
891 Views
Matokeo yapo kama hivi Civ C Bio C Chem B English B Phy D Math D History B Kisw B Nitumie njia ipi ili nitimize ndoto yangu ya MD kupitia Diploma ya clinical medicine
2 Reactions
49 Replies
1K Views
Najiuliza tu hawa jamaa wanawezaje kumbeba raisi kwenye helicopter ya mwaka 1978?? 🫤 Na matambo yao yote ya kurusha drone na misile 300 ambazo zote zilidondoka njiani, bado kumbeba raisi...
20 Reactions
49 Replies
1K Views
Leo ITV imeonyesha tendo la ajabu sana ndiyo sababu watu wengine tunaamua kuangalia tv za nje tu. Haiwezekani tv ambayo imasema kuwa ni super brand afrika mashariki ifanye mambo kwa kukurupuka...
15 Reactions
29 Replies
898 Views
Ukiona hivi vitu basi jua upo Bongo Tanzania Tupia aina kibwagizo
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Good evening jf members, I've decided to use English to reduce the number of insults from certain annoyed members. As a Young Africans S.C supporter and a passionate Tanzanian football fan, I...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Inaelezwa kuwa Mradi mkubwa wa kuvuna gesi asilia wa Lindi LNG huenda ukaota mbawa na kuyeyuka kufuatia mkwamo Mpya uliosababishwa na milolongo ya majadiliano isiyoisha ambapo timu Mpya ya...
2 Reactions
42 Replies
368 Views
  • Suggestion
Utapia mloa ni changamoto kubwa sana Tanzania, na utapia mloa ni ukosefu wa virutubiaho muhimu mwilini hasa sana Protein. Utapia Mlo ni ugonjwa wa Aibu kubwa sana hivyo ni lazima tuchukue hatua...
2 Reactions
2 Replies
14 Views
Salaam, Shalom!! Miaka ya zamani kidogo nilikuwa katika Taasisi Moja kubwa, Kuna kiongozi mmoja kazini akanialika twende tukapate supu ya mbuzi, Tulipofikia eneo lile kumbe Bana, supu ya mbuzi...
41 Reactions
209 Replies
4K Views
Makamu wa Rais wa Zanzibar Masoud Othman amesema Chama chake kikishika Dola basi Zanzibar itapewa Mamlaka yake kamili OMO amesema kuna mambo yanafanyika kwenye muungano kwa hisani tu ila ni...
1 Reactions
7 Replies
92 Views

FORUM STATS

Threads
1,855,448
Posts
49,663,197
Back
Top Bottom