Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Katika maisha kuna baadhi ya mambo unaweza kuyapata kirahisi kwa kusema uongo au kudanganya, lakini pia kuna mambo mengine unaweza kuyakosa au usifanikiwe kwakua tu umesema ukweli. Je, ni mambo...
0 Reactions
1 Replies
76 Views
Natafuta kazi yoyote, Nina diploma ya banking and finance, ninaishi Dar es salaam, ni mwanamke.
2 Reactions
8 Replies
114 Views
Twende nyuma, kuna namna pia wananchi wa Tanzania ni shida na hawajielewi. Hivi unaenda kumchagua mbunge Darasa la 7 awe mmbunge wako akakupiganie Sera na Kukuletea maendeleo, serious? Tanzania...
3 Reactions
23 Replies
221 Views
Salaam,Shalom. Leo nitarudia kuandika japo kidogo kuhusu mji huu maana niliwahi kujaribu kuandika miezi kadhaa iliyopita, thread ilifutika yenyewe. Mbagala Sako, Maji MATITU, maji meusi ndipo...
3 Reactions
6 Replies
177 Views
Kuna mtu ukimtania "hapo chini Kuna nyoka" ni Kama unatafuta kumuua kwa presha, hawapendi kabisa kuleteana utani wa nyoka. Wengine wakijua ndani, nyumba wanazoishi Kuna nyoka ataikimbia nyumba na...
24 Reactions
251 Replies
14K Views
Nimewaza kwa upande wa pili kwamba ikitokea Mossad (Israel) au taifa lolote la kigeni lilihusika kwa ajali iliyotokea nchini Iran....Majibu ya Iran sasa (hiiiiii.... in mwendazake voice) yatakua...
10 Reactions
64 Replies
2K Views
Hello, Jamani mdgo wenu nilipata ajira ya million I0 kwa mwezi nikaichezea mpaka Contract inaisha hamna Cha maana nilichofanya. Wengi mlinisimanga sana humu. Lakini Sasa nimejiunza, na kwa bahati...
8 Reactions
70 Replies
3K Views
Ukisikia mtu kaua mpenzi kwa wivu wa mapenzi mara nyingi kama siyo zote ni mwanaume wa kanda ya ziwa au mikoani huko Huwezi kusikia mzaramo. Najiuliza kwann Hawa wenzetu wanawezaje kumudu stress...
24 Reactions
113 Replies
3K Views
Nadhani heading mmeiyelewa . Asanteni na usiku mwema. So nimewahiwa na mtu ninayempenda. Mafree manson naombeni mniache,namuache kutumia watu(group la makafara ) niacheni tafadhali. Mniache kwa...
10 Reactions
55 Replies
530 Views
Kampuni la Kimarekani Apple, maarufu kwa kuuza bidhaa za electronics na accessories zake, wanauza ivyo vitu bei ghali sana. Inawezekana ikawa ni value for money, ila kuna baadhi ya vitu ni wazi...
32 Reactions
106 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,857,769
Posts
49,728,349
Back
Top Bottom