Ukiwa ndoani ukianzisha uhusiano na asiye na ndoa unabambwa mwezi 1 tu.
Hawa ndo wale saa 12 anakuamsha na “Goodmorning my love”. Saa 4 usiku anapiga. Nani anataka dhahma??
Let me tell you something; kuna wanawake huwa ni weak sana when it comes to wanaume. Yaani unakuta mwanaume dhaifu tu ila anaweza akamdunda hapo akamchakaza sababu labda upbringing yake alikuwa anaambiwa "usije ukashindana na mwanaume" au "mwanaume ni mwanaume tu". Inawezekana kabisa due to...
Ngoja nikwambie ndugu yangu. Wanaume mmeharibiana wenyewe kwa wenyewe. Wenzenu washenzi (laanakum), walinyanyasa na wanaendelea kunyanyasa wake zao (na watoto) financially na kupelekea movement ya sisi wanawake kujilimbikizia pesa.
Huko nyuma wanawake wengi hawakuwa wachoyo wala wabinafsi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.