Napenda kuwapongeza washindi watano wa msimu huu wa 2023 kupitia makala zifuatazo:
I. Namna ya kupanga malengo ya fedha kukusanya (TRA) ili kuwe uwajibikaji, sio kila mwaka wanatuambia wamevuka lengo, kwa kujiwekea malengi madogo. Mshindi wa I. TZS 5,000,000.00
II. Kitambulisho cha Taiga...
Napenda kuwapongeza washindi watano wa msimu huu wa 2023 kupitia makala zifuatazo:
I. Namna ya kupanga malengo ya fedha kukusanya (TRA) ili kuwe uwajibikaji, sio kila mwaka wanatuambia wamevuka lengo, kwa kujiwekea malengi madogo. Mshindi wa I.
II. Kitambulisho cha Taiga kiboreshwe ili kiendane...
Napenda kuwapongeza washindi watano wa msimu huu wa 2023 kupitia makala zifuatazo:
I. Namna ya kupanga malengo ya fedha kukusanya (TRA) ili kuwe uwajibikaji, sio kila mwaka wanatuambia wamevuka lengo, kwa kujiwekea malengi madogo. Mshindi wa I.
II. Kitambulisho cha Taiga kiboreshwe ili kiendane...
Toka niandike makala hii, mwezi bado haujaisha, lakini serikali imeshapandisha kiwango cha kodi ya majengo! Nilikuwa naweka umeme jana, nikashangaa kuona nimekatwa Sh 1500.00 kwa ajili ya kodi ya majengo, badala ya Sh 1000. Kodi ya majengo kwa majengo ya kawaida ilikuwa Sh 1000 kwa kila mwezi...
Baadhi ya madhehebu ya kidini katika nchi za Magharibu yanatetea Ushoga! Hii ni changamoto kubwa kwa waumini wao katika nchi za Afrika ambako vitendo hivi vinapingwa vikali.
Niliwahi kufanya kazi katika shirika moja la maendeleo, moja ya kazi tulioifanya ni kuwezesha wanufaika kujenga mitambo ya bayogesi. Hapo ndipo niligundua kuwa ni nishati nzuri sana, ya bei nafuu na rafiki mkubwa wa mazingira.
Watoto wanatakiwa kujengewa ujasiri wa kusema kuhusu matukio haya ya ushoga, maana mambo haya wanafanyiwa watoto na watu wao wa karibu sana (hata Baba mzazi).
Katika ardhi, kuna biashara nyingi za kimkakati (kama viwanda vikubwa, migodi, biashara utalii, viwanja vya ndege, viwanja vikubwa vya michezo, nk.) ambayo inaweza kuipatia serikali mapato ya kutosha, na hivyo kuondoa ulazima wa kutegemea kodi za ardhi na majengo kwa wakazi wa kawaida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.